Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 48,444
- 194,235
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌Ni brand fln utaikuta kwa elites tu
Dj walete elites na amapiano moja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌Ni brand fln utaikuta kwa elites tu
45K naweza kubali. Yule aliyesema Oraimo elfu 80 naomba anishushe Airport sifiki Chanika.Nilikuwa nazo nilinunua 45k nilitumia kama week 3 hv nikazigawa, shida na mm ilikuwa hiyo hiyo ila perfomance wise ziko vizuri mno products za oraimo, ninayo na charge pia ipo faster balaa
Nanunua zingine 🤣 ila just imagine za 70k ni famba halafu zikachoma kabla hata ya mwezi. Nimenunua sana earphones ila bei zangu ni 10-20K.Subiri maajabu yaanze 😂😂
Jichanganye mkuu.But, nje ya mada hivi nyie watu huku JF mnatoa wapi hela mbona ni mimi tu ndo sina gari, sijawahi kutoka nje ya nchi, sina hela, sijawahi kupanda ndege?.
Yaani wenzangu nawakuta mnaulizia namna ya kulipa faini, sijui ramani nzuri kwaajili ya ujenzi, tuseme mimi nakosea wapi wakuu, au sina exposure?.
Hahah kabisa mkuu kutembea na product yenye alama kabisa kuwa ni made in macho madogo inahitaji moyo, unaweza kwenda mahali kwenye interview au makubaliano ya biashara ukawekwa pending.Nilikuwa nazo nilinunua 45k nilitumia kama week 3 hv nikazigawa, shida na mm ilikuwa hiyo hiyo ila perfomance wise ziko vizuri mno products za oraimo, ninayo na charge pia ipo faster balaa
70k unanunua kitu mara nne kwa mwaka ni sh ngp?Nanunua zingine 🤣 ila just imagine za 70k ni famba halafu zikachoma kabla hata ya mwezi.
Sawa mkuu, mpaka hapa nimeshagundua shida iko wapi ngoja nifuatilie earpods kwanza.Jichanganye mkuu.
Kuwa na wanyws bia wenzako ila wenye vision tofauti na wanywa kvant au kamatia chini.
Utaweza pata dili hata la kusindikiza mrembo huko mambele
Hahahahahaaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌
Dj walete elites na amapiano moja
HahahahahaaaaHahahahah nikiwa chawa wa mama ntafanya hivyo 😀
hahahahaha falwa sana, chanika inaingiaje hapa mzeeChanika
Upo dsm? Mm nahitaji Nina hiyo 10kHii yaweza kuwa first copy maana nimechukua duka la jumla kwa luteni tu (10K) ila nahisi ndio tunazouziwa zaidi ya elfu 20 mtaani.
Home theater unatoka nayo nje?Niache kununua home theatre au soundbar ninunue earphones laki 7. Labda kama baba yangu angekuwa fisadi wa over invoicing. 😀😀😀
mwanzo zilivyoingia zilikua zinauzwa around 140k, ukilia lia mpaka 120k unachukua.Eeh kweli, kwa hio pesa huwezi nunua kitu kibovu. Ina maana hao wanaijeria ndo wanauza vitu ghali kiasi hicho. Kama za waya wanauza buku 5 jumla na zina bass sidhani kama hio earpods ni ghali hivyo.
Nilichukua cover ya simu kariakoo baada ya kuhangaika sana kila baada ya week kadhaa cover zinapauka, mwanangu mmoja akaja twende nikupeleke kwa plug cover ukuta wa ikulu nikachukua bhana ila sadly yale yale, nikaona upuuzi huu nikazama amazon andika aina ya simu zikaja cover kibao kaliiii balaa cover ina screen protector built in kabisa, sasa hivi safi tu nshasahau swala la cover sjui protector n.k70k unanunua kitu mara nne kwa mwaka ni sh ngp?
Hujapigia cost za usumbufu, poor quality etc...
Si bora ununue kitu ya 300k au 350k for five years, high qualitu
Wakiongozwa na slay queen mwenye filimbi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119][emoji119]
Dj walete elites na amapiano moja
Hujashika hela bado chief 😀, isikie tuNiache kununua home theatre au soundbar ninunue earphones laki 7. Labda kama baba yangu angekuwa fisadi wa over invoicing. 😀😀😀
Malizia na price mkuu, kwahyo inaonekana humu barani tunatumia vitu quality ya chini sana?.Nilichukua cover ya simu kariakoo baada ya kuhangaika sana kila baada ya week kadhaa cover zinapauka, mwanangu mmoja akaja twende nikupeleke kwa plug cover ukuta wa ikulu nikachukua bhana ila sadly yale yale, nikaona upuuzi huu nikazama amazon andika aina ya simu zikaja cover kibao kaliiii balaa cover ina screen protector built in kabisa, sasa hivi safi tu nshasahau swala la cover sjui protector n.k
Hapo kwenye charge ndio muhimu.mwanzo zilivyoingia zilikua zinauzwa around 140k, ukilia lia mpaka 120k unachukua.
kuhusu quality, sijutii hela yangu, zina base na zinachuja vizuri sana.
kwenye charge, simu ndio itaisha charge zenyewe bado zimo tu, kwa upande wangu nasikiliza kwa siku nne mpaka tano ndio nacharge tena.