Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Achana na nura mkuu, wanajua sana hizi kazi. Nilikua na nuratrue niliinunulia SA hadi leo ninayo na sijaona mpinzani,Nura ni zipi mkuu, mi pia nilinunua AKG lakini hazijadumu sikio moja limeenda kwao nimechukia saaaana, hizi nura ni zipi?.
Why Airpods Pro 2?? Hiyo 2 ni kwa ajili gani?AirPods Pro 2 zimeandikwa zile zenye kipira kwa mbele
Hahaha hapana mzee, earpods original zimesimama sana bei usichukulie poa hizo zako ni suala la muda tu sikio la kushoto litaanza kupiga mada nyingine la kulia litaconnect na tecno ya mtu lipige mada nyingine.Hahahaha braza unasema hamna kitu kwamba maskio yangu yanadanganya?😀
We ulitaka niseme ni elfu 50 ili uamini ni nzuri.
Amini nikitaka kufanya biashara naweza wapata wengi nikawauzia hata 30K tu mikoani. Zina mziki mzuri uliojaa.
Khaa 😂😂😂2nd generation
Si mlianza kunishawishi nihamie kwenye za bluetooth, kwahyo unataka kuniambia hawa jamaa wa oraimo wako vizuri? ngoja tumsubiri yule wa nura.Hahahahah mzee wembe ni kifaa muhimu. Sema zile za waya hawajaandika Oraimo. Zipo black plain tu.
Hizi naamini itakuwa ni 1st copy ila zinafanya vyema sana mkuu, wapewe maua yao incase hizo za laki zina mziki mzuri zaidi ya huu. Oraimo ya waya haipigi kama hii.Hahaha hapana mzee, earpods original zimesimama sana bei usichukulie poa hizo zako ni suala la muda tu sikio la kushoto litaanza kupiga mada nyingine la kulia litaconnect na tecno ya mtu lipige mada nyingine.
Sio laki tu. Hizo zenyewe za laki bado ni mchina flani 🤣🤣Hizi ni 1st copy ila zinafanya vyema sana mkuu, wapewe maua yao incase hizo za laki zina mziki mzuri zaidi ya huu.
Kwani charge inakaa muda gani kwa ulivyoitumia, na zinashika sikioni? au kila saa unarudishia rudishia, maana hawa wachina unakuta wametengeneza kwa kupimisha na masikio ya wa mongolia huko mzigo mnene zinakaa juu juu kwa kuegesha.Hizi naamini itakuwa ni 1st copy ila zinafanya vyema sana mkuu, wapewe maua yao incase hizo za laki zina mziki mzuri zaidi ya huu. Oraimo ya waya haipigi kama hii.
Hizi zitakuwa ni nzuri ila accessibility yake ni ngumu.Achana na nura mkuu, wanajua sana hizi kazi. Nilikua na nuratrue niliinunulia SA hadi leo ninayo na sijaona mpinzani,
Wana brands tofauti ila challenger ya anachoongelea mtoa mada ni hii nuratrue
View attachment 2613034View attachment 2613033
Ziko hata hata za 700k.Sio laki tu. Hizo zenyewe za laki bado ni mchina flani [emoji1787][emoji1787]
Nilikuwa nazo nilinunua 45k nilitumia kama week 3 hv nikazigawa, shida na mm ilikuwa hiyo hiyo ila perfomance wise ziko vizuri mno products za oraimo, ninayo na charge pia ipo faster balaaMi pia naona kama zitakuwa nzuri shida ile logo ya kuashiria ni mchina inanipa stress, au ninunue nikangue na wembe hahaah.
Inakaa vizuri inatulia na wala hainipi ear fatigue. Charge ndio nacharge sahizi toka jana nilipozichukua. Playback time ni almost 4 hours non stopKwani charge inakaa muda gani kwa ulivyoitumia, na zinashika sikioni? au kila saa unarudishia rudishia, maana hawa wachina unakuta wametengeneza kwa kupimisha na masikio ya wa mongolia huko mzigo mnene zinakaa juu juu kwa kuegesha.
Sio mchina..Ziko hata hata za 700k.
Mkuu kwa hii picha nimeshakubali hata kabla sijatumia, mbona ziko tofauti kabisa?.Achana na nura mkuu, wanajua sana hizi kazi. Nilikua na nuratrue niliinunulia SA hadi leo ninayo na sijaona mpinzani,
Wana brands tofauti ila challenger ya anachoongelea mtoa mada ni hii nuratrue
View attachment 2613034View attachment 2613033
Mnakosa sana utamu,Sasa hapo tumia apple music au spotify kustream ukikonekti na hzo pods via blutusi, uje unishukuru bdae.
Subiri maajabu yaanze 😂😂Hizo nunueni nyie vibopa. Mimi za 10K mziki wake unantosha sana. Umekidhi viwango.