National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,121
Ndio tunaishi nazoHahahah oraimo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio tunaishi nazoHahahah oraimo
Kwan yeye anatumia iphone?Sasa hapo tumia apple music au spotify kustream ukikonekti na hzo pods via blutusi, uje unishukuru bdae.
Shida zile zina vile vipira vya kuingiza ndani ya shimo za sikio hiyo kitu sio sawa.Mkuu,
Hii comment usiidharau. Ila endapo hizo zitaharibika nakushauri ujaribu na earpods za Oraimo.
Tafuta original kabisa na uzi utakaofuata itakuwa ni kuzisifia kwa viwango kuliko hizo za Apple.
Apple music unaitumia hata kwenye android mkuuKwan yeye anatumia iphone?
Apple hawatengenezi kitu cha 10k.Hii yaweza kuwa first copy maana nimechukua duka la jumla kwa luteni tu (10K) ila nahisi ndio tunazouziwa zaidi ya elfu 20 mtaani.
Kama za 10k zimekuzuzua hivyo ukipata zile OG kabisa utasemaje?Hahahaha braza unasema hamna kitu kwamba maskio yangu yanadanganya?[emoji3]
We ulitaka niseme ni elfu 50 ili uamini ni nzuri.
Amini nikitaka kufanya biashara naweza wapata wengi nikawauzia hata 30K tu mikoani. Zina mziki mzuri uliojaa.
Mboni kuna kabira maarufu huko kanda ya ziwa wanatembea na maredio makubwa muziki mnene utadhani mtu kabeba sanduku la kufugia nyokaHome theater unatoka nayo nje?
Utasafiri nayo?
Utatulia nayo Hotel/ Vacay/ chimbo?
Weee emu tulia [emoji23][emoji23]
Ngoja nijichange nikachukue huo mzigo 40k niunge kwenye kahuawei kanguNimeuliza jamaa kaniambia ni 2nd copy. First copy wanauza 40K ni nzuri zaidi ya hizi interms of functionality ila sound ya kibabe ni ile ile.
Mkuu hii simu unatumia ni Sony? Model ipi?Ina vitu vingi sana imekaa ki PRO sana and powerful.
View attachment 2614666View attachment 2614667View attachment 2614668View attachment 2614669View attachment 2614670View attachment 2614671View attachment 2614672
Hii style kuna mdosi alinifundisha pia, mbeleni uhangaikiEeeh Kaka kama ukifumania vitu na hela unayo unavibeba tu huwa inasaidia mfn mimi nina mwaka wa 3 huuu sinunui flash maana nilizifuma zile OG sehemu nikazibeba za kutosha.
Kuna sehem pia nilzifuma SSD bei kitonga alaf OG nikalala nazo mbele.. juz hapo niliingia ktk liquor store moja hivi nikakuta Jagger inauzwa bei kitonga nikasema hapa hapa.. nikabeba Box kabisa.
Heheh
Ok..poa mkuu, nami nipo humohumo sema nataka ku upgrade, model ipi unadhani yaweza kuwa poa?
Ok poa, ntakupa mrejesho.Chukua Sony Xperia 1 series
Lete mrejesho sasaOk poa, ntakupa mrejesho.