Ndege Tai
JF-Expert Member
- May 6, 2020
- 4,439
- 8,184
earpods zenye bass nzuri ni kama kuulizia dawa ya AHA supermarketUzi umetembea vya kutosha...
Naombeni recommendations ya earpods nzuri, zenye bass nzuri na zisizochosha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
earpods zenye bass nzuri ni kama kuulizia dawa ya AHA supermarketUzi umetembea vya kutosha...
Naombeni recommendations ya earpods nzuri, zenye bass nzuri na zisizochosha.
🤣 Watu wanahisi earphone ikiuzwa laki ndio nzuriNi mimi hpa mkuu...nazijua vzuri sana hizi zina bass ya kawaida sana na treble ndio mahali pale..kama mtu hupendi mdundo hizo zinakufaa
Kuna earphone ninazo zina mdundo mara elfu 10 ya hizo na bei yake ni efu 12 tu
Chief turudi kwenye ukweli earpods hazina mdundo bhana...🤣 Watu wanahisi earphone ikiuzwa laki ndio nzuri
Sawa, kwenye maisha kila mtu ana kipaumbele chake. Mwingine anaona gharama kununua Gadget kwa 160k ila kila week ana chop Money Club na ana madem kama 6 hivi🤣🤣Kwa Bei hiyo uongo naona ni matumizi ya anasa na kipato hakiruhusu.
Imeenda tayari.Download selenium player
Siyo kweli, ila inategemea na brand pamoja na ubora. Kwa mfano Apple Airpod ya elfu 10 haiwezi kuwa sawa na Original ya 600k kwa vitu vingi tu. Mimi nimenunua Redmi Buds 4pro kwa 160k najua ndio nimemaliza tena labda after 2 years mbele huko. Sasa mwingine ananunua hizo za 10k hata mara 20 ndani ya miaka miwili. Cheap is expensive sometimes🤣 Watu wanahisi earphone ikiuzwa laki ndio nzuri
Naunga mkono hoja, hiyo midude ni hype tu ila hamna kitu. Hata portable zile kama unataka speaker tafuta Sony au Boose.Speaker za JBL ni kwerekweche mzee
🤣 Hahahah sio ishu kama unazitunzaSiyo kweli, ila inategemea na brand pamoja na ubora. Kwa mfano Apple Airpod ya elfu 10 haiwezi kuwa sawa na Original ya 600k kwa vitu vingi tu. Mimi nimenumua Redmi Buds 4pro kwa 160k najua ndio nimemaliza tena labda after 2 years mbele huko. Sasa mwingine ananunua hizo za 10k hata mara 20 ndani ya miaka miwili. Cheap is expensive sometimes
Kwerekeche kwa mikoa ya kanda ya kati ni kitu kibovu yani cha kuungaunga sanaSpeaker za JBL ni kwerekweche mzee
Mimi nilisema sitokuja kununua pods na kuwaona kama malimbukeni wanatumia vitu hivyo hulu nikiwa na mawazo kama yako mavitu ya kuchaji mara kwa mara .Hiyo karaha/adhabu ya kuchaji kila masaa mawili huoni ni shida pia?
Mimi sipendi kutumia kitu, kila dakika unahofia chaji imebaki kiasi gani.
Halaf kingine, nikiona mtu kavaa earpods namuona kama bishoo hivi (mf. Kitenge)
Mimi sasa kipaumbele changu ni sounds Quality na charge life tu maana nasikilizia mawaidha ,video za documentary ,news ,movies ,games na calls tu ,mambo ya base hayana umuhimu mikubwa coz sifagilii miziki.Hizo riff nimezisikiliza ziko sawa na airpods zangu za 10K tu kimuziki
Kwa ulivyotumia mpk sasa chaji yake ubora upoje na inakaa kwa muda gani ?Mimi nimepata quality ya laki kwa elfu 10 🤣🤣🤣
Acha upotoshaji mkuu hiyo kitu mimi naziba masikio naenda kuchukua K/Koo features ni unyama sana ,haujatest unaponda na kufanya huu uzi kama wa kimasihara jamaa mmoja anakera wadau kila stori anasema chai .Hamna kazi humo. 🤣
Hahahahah umenifanya nicheke kwa sauti mzeeKwa ulivyotumia mpk sasa chaji yake ubora upoje na inakaa kwa muda gani ?
Nitumie picha yake na unipe chimbo la kupata kama yako maana na mimi nataka brand ya Iphone ,simu nishinde hata pods itakuwa uongo.
Riff zinapiga sawa na hizo airpods mkuuAcha upotoshaji mkuu hiyo kitu mimi naziba masikio naenda kuchukua K/Koo features ni unyama sana ,haujatest unaponda na kufanya huu uzi kama wa kimasihara jamaa mmoja anakera wadau kila stori anasema chai .
🤣 Babu pale chimbo mzigo uimeisha zangu zilipotea kwenye basi. Natumia zingine zinaitwa "EDIFIER" ni za mtumba brand ya kimarekani ziko na form factor ya TWS kama JBL, SAMSUNG zile TWS.Kwa ulivyotumia mpk sasa chaji yake ubora upoje na inakaa kwa muda gani ?
Nitumie picha yake na unipe chimbo la kupata kama yako maana na mimi nataka brand ya Iphone ,simu nishindwe hata pods itakuwa uongo.
Kwahio kazi we tumia hata zile nyanga za buku buku tu.Mimi sasa kipaumbele changu ni sounds Quality na charge life tu maana nasikilizia mawaidha ,video za documentary ,news ,movies ,games na calls tu ,mambo ya base hayana umuhimu mikubwa coz sifagilii miziki.
Tsh ngapi hii ?🤣 Babu pale chimbo mzigo uimeisha zangu zilipotea kwenye basi. Natumia zingine zinaitwa "EDIFIER" ni za mtumba brand ya kimarekani ziko na form factor ya TWS kama JBL, SAMSUNG zile TWS.
Sema zinagonga sound ya kibabe sana hakuna hata Oraimo inagusa huu umeme na zinakaa na charge more than 8 hours.
View attachment 2726896