Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Yaani acha tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hivi mliishia wapi na yule
Nilijua tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mie mwenyewe hapa kikristo kinanipiga chenga sana tu
Nakuja unipe ufafanuzi juu ya hiyo herufi uliyomalizia nayo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]APP ni ya wazee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] daahYaani acha tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Niliuchuna tu,si unanijua huwa sipendi stress...nikawa kama nilisahau tu[emoji134]
Dhambi hizo utazibeba wewe
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787] hebu nitakuelezea vizuri kule maana hapa naona umeshindwa kabisa kunielewaNilijua tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ukija uwe kabisa na mistari uliyoisema kule Kwenye ule uzi
Bila hivyo hiyo T utaishia kuishangaa tu[emoji3526]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kunichotesha dhambi bure Mimi.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] daah
Kichwa kizito hiki[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787] hebu nitakuelezea vizuri kule maana hapa naona umeshindwa kabisa kunielewa
Umeona eeh?
Wanacompications kwa vitu ambavyo hata si vya muhimu
Sijui love,
Sijui hahaha
Eti mkuu hivi vina maanani gani[emoji3]
May mosi Melo anaachia kitu[emoji847]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo umemamaliza kila kitu, hizo deficiency ndio kero kwetu, may be waboreshe zaidi.
Narudia tena kusema kitu pekee kilichopo kwenye app na kwenye web akipo ni ku scroll page tu lkn vingine vyote vipo na tena kwenye web ndio vipo vingi zaidi.
Hata Mimi nadhani hivyo kuhusu emoj[emoji23][emoji23]Yeah aisee Wanaleta ugumu usio na faida why ? [emoji1745][emoji1745]
(Love + hahaha)Collectively huku tunaita LIKE, Kivyovyote vile huwezi ku-hahah kama huja-like( penda(love) ) Sisi wa App tumeamua tuite LIKE Maana tunaona ni kitu kile kile [emoji18][emoji18] hata hvyo unaweza ukareply kwa emoj za kucheka ("Hahah" useless Mpk Hap [emoji1787])
Inaonekana zamani emoji zilikua hazijagunduliwa kwnye keyboard ndio mana (love+hahah) zilikuep [emoji38][emoji38][emoji38]
Application Baba Lao[emoji3][emoji3]Hata Mimi nadhani hivyo kuhusu emoj[emoji23][emoji23]
App[emoji1696]
1May[emoji847]
Sent using Jamii Forums mobile app
Tunaingia humu JF kwa kutumia hizo njia mbili embu tuambie wewe unatumia ipi kati ya hizo?
Muambie mtu ambae hatumii njia yako vitu ambavyo vinakukera na vinavyo kuvutia zaidi katika njia yako...
Kuna sehemu niliona mtumiaji wa Browser akimuambia mtumiaji wa App kwamba App wanatumia wazee [emoji3]...
COVID 19 ipo tujikinge kwa kufuata ushauri tunaopewa na wataalamu
do you mean unatumia browser ya simu?Hakuna changamoto yoyote kwa anayetumia browser
Notifications on time,inaeleweka,unaweza kuedit ulichoandika(sina uhakika kama APP unaweza kuedit siku hizi),namna ya kutag kwa browser haiko complicated,bold,italic na mazaga zaga mengine yapo huku kwenye browser na ni rahisi mno kuyaapply
Browser haiachi ushahidi wa kwamba unatumia JF(mtu akishika simu yangu hawezi kujua kama hata naijua JF) kwasababu sina APP ya JF
Usiku mwema kwako pia boss [emoji3526][emoji1696][emoji120]Application Baba Lao[emoji3][emoji3]
Goodnight Aisee [emoji2936] [emoji95][emoji2935]
Umemaliza kila kitu J [emoji119]
Watumiaje wa App kilio chao kikubwa kila siku ni kutopata notifications lakini hawataki kuhama huko sijui wana vitu gani vingine vya maana?
Pia sijui kama na wao wana option ya kudislike, like, love, wow!
mtu akini dislike nitamtafuta sana tugombane yaaniSisi tunataka kujua mkiwa huko huko kwenye App mtu akidislike huwa inakuwa like?
kiufupi browser wanatumia wanaume wa Dar.Hivi mnawezana vipi na pages?
Nahisi hiko ndo kitu kimoja kati ya vile vilivyonifanya nishindwe kutumia browser
Sitaki kujibizana na wazee....ππππYaani mimi browser hakuna anayenishawishi kwa kweli, comment kama sijaipenda naiacha tu siyo lazima nioneshe sijaipenda.
Hivi kwanza Depal hajauona huu uzi bado, team browser yule kama namuona anavyokuja kutukejeli watumiaji wa app.
Hiyo naijua lakini haipo vizuri kama ilivyo ya kwenye app.View attachment 1425217
Mbona ipo kama hivyo, kama kuna mtu huwezi kumuangalia jua ni yeye kazuia watu wasimpekue hata kwenye app hutoweza kumcheki.
Kusubscribe tread huku kinaitwa watch thread, ukiwatch utakuwa unapata notification