Application Users Vs Browser Users

Application Users Vs Browser Users

Umeona eeh?
Wanacompications kwa vitu ambavyo hata si vya muhimu

Sijui love,
Sijui hahaha
Eti mkuu hivi vina maanani gani[emoji3]

May mosi Melo anaachia kitu[emoji847]

Sent using Jamii Forums mobile app

Yeah aisee Wanaleta ugumu usio na faida why ? [emoji1745][emoji1745]

(Love + hahaha)Collectively huku tunaita LIKE, Kivyovyote vile huwezi ku-hahah kama huja-like( penda(love) ) Sisi wa App tumeamua tuite LIKE Maana tunaona ni kitu kile kile [emoji18][emoji18] hata hvyo unaweza ukareply kwa emoj za kucheka ("Hahah" useless Mpk Hap [emoji1787])

Inaonekana zamani emoji zilikua hazijagunduliwa kwnye keyboard ndio mana (love+hahah) zilikuep kwny kitufe cha ku-click internet cafe [emoji38][emoji38][emoji38]
 
Hapo umemamaliza kila kitu, hizo deficiency ndio kero kwetu, may be waboreshe zaidi.
Narudia tena kusema kitu pekee kilichopo kwenye app na kwenye web akipo ni ku scroll page tu lkn vingine vyote vipo na tena kwenye web ndio vipo vingi zaidi.

Yani Mkuu we umekalia Ubishi tuu [emoji38][emoji38]
Hembu fanya kama una Clarify ubora wa web browser dhdi ya Application
.
Napoteza ATP zang tuu hapa [emoji2][emoji2]
Wewe usema umeizoea Sana Web browser kuliko Application ila sio useme Web Browser ni Bora[emoji82][emoji82]
 
Yeah aisee Wanaleta ugumu usio na faida why ? [emoji1745][emoji1745]

(Love + hahaha)Collectively huku tunaita LIKE, Kivyovyote vile huwezi ku-hahah kama huja-like( penda(love) ) Sisi wa App tumeamua tuite LIKE Maana tunaona ni kitu kile kile [emoji18][emoji18] hata hvyo unaweza ukareply kwa emoj za kucheka ("Hahah" useless Mpk Hap [emoji1787])

Inaonekana zamani emoji zilikua hazijagunduliwa kwnye keyboard ndio mana (love+hahah) zilikuep [emoji38][emoji38][emoji38]
Hata Mimi nadhani hivyo kuhusu emoj[emoji23][emoji23]
App[emoji1696]

1May[emoji847]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
me natumia vyote... Ila browser ni tamu sana kuliko hii app yao...
Tunaingia humu JF kwa kutumia hizo njia mbili embu tuambie wewe unatumia ipi kati ya hizo?

Muambie mtu ambae hatumii njia yako vitu ambavyo vinakukera na vinavyo kuvutia zaidi katika njia yako...

Kuna sehemu niliona mtumiaji wa Browser akimuambia mtumiaji wa App kwamba App wanatumia wazee [emoji3]...

COVID 19 ipo tujikinge kwa kufuata ushauri tunaopewa na wataalamu
 
Hakuna changamoto yoyote kwa anayetumia browser

Notifications on time,inaeleweka,unaweza kuedit ulichoandika(sina uhakika kama APP unaweza kuedit siku hizi),namna ya kutag kwa browser haiko complicated,bold,italic na mazaga zaga mengine yapo huku kwenye browser na ni rahisi mno kuyaapply

Browser haiachi ushahidi wa kwamba unatumia JF(mtu akishika simu yangu hawezi kujua kama hata naijua JF) kwasababu sina APP ya JF
do you mean unatumia browser ya simu?
 
Kwenye app hazipo hizo...
Umemaliza kila kitu J [emoji119]

Watumiaje wa App kilio chao kikubwa kila siku ni kutopata notifications lakini hawataki kuhama huko sijui wana vitu gani vingine vya maana?

Pia sijui kama na wao wana option ya kudislike, like, love, wow!
 
Yaani mimi browser hakuna anayenishawishi kwa kweli, comment kama sijaipenda naiacha tu siyo lazima nioneshe sijaipenda.

Hivi kwanza Depal hajauona huu uzi bado, team browser yule kama namuona anavyokuja kutukejeli watumiaji wa app.
Sitaki kujibizana na wazee....😂😂😂😂
 
View attachment 1425217
Mbona ipo kama hivyo, kama kuna mtu huwezi kumuangalia jua ni yeye kazuia watu wasimpekue hata kwenye app hutoweza kumcheki.
Kusubscribe tread huku kinaitwa watch thread, ukiwatch utakuwa unapata notification
Hiyo naijua lakini haipo vizuri kama ilivyo ya kwenye app.
Subscribe ndio watch eeh!! Hapo nilikuwa sijajua. Ahsante
 
Back
Top Bottom