1kush africa
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 9,552
- 13,090
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona naona shortcut kama zote 😀😀View attachment 1425300
Here we go .... Natumaini vyote viwili umeviona 😀😀😀
Kutumia browser ni kama pattern vile, vichocholo vingi kuna wafaa wala miguu ya kuku,, watembezi.comViongozi wa jamii forum WAMELEWA SIFA.
haiwezekani tatizo la notification likawa sugu.
Mimi tangu March 26 sijapata notification hata huko kwenye web nako hovyo kabisa.
Cha ajabu ukimtukana mtu wanakulisha BAN fasta lakini matatizo yao hawataki kuyashughulikia
"baba unahonga hawara elfu kumi,
watoto wanakufa na njaa nyumbani"
Ndio yenyewe....haya umeikutia wapi?
Hivi kumbe ulishahama chama? 😂Hivi na nyie si huwa mnatumia browser? 😎
Sesten Zakazaka
Sanchez magoli
Penison
Mgagaa na Upwa
Numbisa.
ukhuty
Chief unawezaje wezaje kupata notifications ikiwa wenzako wanalalamika kila siku kutokupata notifications?Kama app ya JF ikifutwa nitapunguza sana kuperuzi
✓Nascroll tu chini hakuna kufungua mapage
✓Na-subscribe kwenye thread zenye mwendelezo mfano..uzi wa Manchester United,Uzi wa picha za vyakula,au ule wa Masihara..Pia na-subscribe nyuzi nanazotaka kuzisoma later on..
✓Pia iko snappy wakati una-navigate
✓Pia nafukua makaburi kiurahisi pia..sina uhakika kama kwenye browser inawezekana
✓Notification napata kama kawaida,so sina tatizo
#TeamJfApp
Wewe kama mimi.Chief unawezaje wezaje kupata notifications ikiwa wenzako wanalalamika kila siku kutokupata notifications?
Ndio. Kitambo.Hivi kumbe ulishahama chama? 😂
😂😂😂😂😂😂 usimsikilize huyooAlikuta natengeneza mazingira kwa mpendwa ili awe mrithi wake weeeh! aliwaka huyo akasema alikuwa anakutania kupima imani yako 😂
😂 😂 😂[emoji23][emoji23][emoji23]
Nimeona unatuita wazee
#moyowanguumepondeka
ata ndoani itakuwa mvumilivu sanaPole Swahiba. Mi nishajizoelea.
Huwa naeza kuta uzi una pages hata 20 na nikaenda mdogo mdogo mpaka nikaumaliza. [emoji3]
Hahah siunajua sababu ya mim kutumia browser japo chaguo langu haswa ni app lkn ndio haiwezekani ila nakushukuru mekumiss ukiletewa nazi na mimi dada natakaHivi na nyie si huwa mnatumia browser? 😎
Sesten Zakazaka
Sanchez magoli
Penison
Mgagaa na Upwa
Numbisa.
ukhuty
Nafanya hivyo kwa sasa,maana hamna jinsi 😀Pole Swahiba. Mi nishajizoelea.
Huwa naeza kuta uzi una pages hata 20 na nikaenda mdogo mdogo mpaka nikaumaliza. 😀