Application Users Vs Browser Users

Application Users Vs Browser Users

Yani Mkuu we umekalia Ubishi tuu [emoji38][emoji38]
Hembu fanya kama una Clarify ubora wa web browser dhdi ya Application
.
Napoteza ATP zang tuu hapa [emoji2][emoji2]
Wewe usema umeizoea Sana Web browser kuliko Application ila sio useme Web Browser ni Bora[emoji82][emoji82]
Kitu bora kwako ni lazima kiwe bora kwa kila mtu? Kila mtu anapenda kitu ambacho ni bora kwa upande wake.
Au kuna mtu apendi kitu bora, au unafikiri sisi tunaotumia web hatuna uwezo kui download hiyo app?
Alafu usipende kumuita mtu ni mbishi kisa akubaliani au haamini katika mawazo yako, huo ni udikteta
 
Kitu bora kwako ni lazima kiwe bora kwa kila mtu? Kila mtu anapenda kitu ambacho ni bora kwa upande wake
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hapana hata sio lazima kitu bora kwang kiwe bora kwa mwengine
Sasa si-ndio Maana nikasema Wewe useme umezoea Web browser kuliko Application (yani Simply umeiona bora)
Au kuna mtu apendi kitu bora, au unafikiri sisi tunaotumia web hatuna uwezo kui download hiyo app?
[emoji28][emoji28]Nani huyo kasema hamuwezi
Mbona mnaweza kuidownload
Alafu usipende kumuita mtu ni mbishi kisa akubaliani au haamini katika mawazo yako, huo ni udikteta
[emoji2][emoji2]Kwa mantiki hii Hakuna Mtu duniani anapaswa kuitwa Mbishi, Hakuna
Sijajua huy Mbishi ni Mtu gani Sasa

Haya bhana boss Kila mtu atumie aonach kilicho Bora [emoji2][emoji2]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hapana hata sio lazima kitu bora kwang kiwe bora kwa mwengine
Sasa si-ndio Maana nikasema Wewe useme umezoea Web browser kuliko Application (yani Simply umeiona bora)

[emoji28][emoji28]Nani huyo kasema hamuwezi
Mbona mnaweza kuidownload

[emoji2][emoji2]Kwa mantiki hii Hakuna Mtu duniani anapaswa kuitwa Mbishi, Hakuna
Sijajua huy Mbishi ni Mtu gani Sasa

Haya bhana boss Kila mtu atumie aonach kilicho Bora [emoji2][emoji2]
[emoji23][emoji23][emoji23] wazee wa browser wameanza kupaniki. Wao si ndio wanatuita sisi wazee
 
Uwiiii nilijikuta tu natumia browser kipindi kile cha nyuma enzi za maubuyu chitchat [emoji41] kwani ilinisaidia sana kupata tags kwa wakati hasa ile saa wambea tunatagiana yaani ilikuwa ukizubaa tu umepitwa. Lol. Cc. Rafiki Numbisa. [emoji3]

Toka hapo ndio natumia hiyo na sionagi ugumu kutumia japo waliozowea App wanakwambia Browser ina mzunguko ambao mi hata siuoni.
Yani Dada na wewe upo kwenye Kundi la
Browsers, TeamOperaMin, TeamGoogle Chrome, TeamFirefox [emoji38][emoji38][emoji38]
 
Kunichotesha dhambi bure Mimi.
Lakini nilikwambia toka mwanzo kwamba ulivyodhani ndivyo sivyo [emoji23][emoji23]
Naimba tu Mimi wimbo wa prof j na chameleon

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umenishinda tabia

Unavyodhani ndivyo sivyo
Maisha ni safari isiyokuwa na likizo
 
View attachment 1425303
Piga kelele kwa browser akeee weuweee Zoë
Yan huku tunatoa reactions, kama kitu cha kuchekesha nacheka halafu imeisha hiyo.

Huko uzeeni sasa mambo tafrani, ukiona comment ya kuchekesha mpaka umqoute mtu na wewe ndio ukachekee huko ooh ni wastage of time eeh [emoji23][emoji23][emoji23][emoji125][emoji125]
Ai mie hata kama kitu kikinichekesha siyo lazima nioneshe kuwa kimenichekesha, nalike tu comment ya huyo mtu basi. [emoji1787][emoji1787]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] shortcut zinaokoa muda.

Natumia zote ila browser is the best wallah
Cc: Zoë
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hakuna kitu kama hiko aiseee
 
Back
Top Bottom