Wewe mzee wa π€£π€£ hayo mambo ya App umeyajulia wapi au unatumia vyote viwili?
Binamu wa mie hii si ni Dark Mode au ndugu yako thijui? πTatizo la browser huwezi kupata JF kwa Dark mode ila app unaweza...!
All in all natumia chrome browser.
Kujulikana unatumia jf ni msala kiasi hicho?Hakuna changamoto yoyote kwa anayetumia browser
Notifications on time,inaeleweka,unaweza kuedit ulichoandika(sina uhakika kama APP unaweza kuedit siku hizi),namna ya kutag kwa browser haiko complicated,bold,italic na mazaga zaga mengine yapo huku kwenye browser na ni rahisi mno kuyaapply
Browser haiachi ushahidi wa kwamba unatumia JF(mtu akishika simu yangu hawezi kujua kama hata naijua JF) kwasababu sina APP ya JF
mzee umeua[emoji122][emoji122][emoji122]Application Ndio kila kitu Tatizo ni NOTIFICATION na Kutuma picha PM (kwang siwez tuma)
Nimewahi mpa mtu simu Hakua na Smartphone alikua ana-angalia matokea yake nimetok narudi nachungulia namkuta yuko JF [emoji35][emoji35] ame back pages Mpak Karud pages za JF (Security ndogo tofuat na App unaweza log out, kule mpka ufute broswe history [emoji16])
Mtu unatumia JF kama upo Google bwana umebrowse Website ya Ajira [emoji38][emoji38][emoji38]
Ukitumia App unaweza pata All New Threads from All forums (TIMELINE 914k)
Watu wa browsers wakiingia Forum moja mpaka atoke Sio Leo ndio mana unakuta mtu anajiita Mwana MMU yani akiingia kule anashindia huko ni kisanga kutoka [emoji38][emoji38]
Bado Kuna mambo ya pages browser unavinyeza Kule juu Au chini 1 2 3 .... 5 next
Kwenye App unashuka tuu utajua mwenyewe kimpago wako pages zinajihesabu [emoji38][emoji38][emoji38]
Sisi wa App kupitia iyo (TIMELINE ) unarefresh tuu Unapata any commented thread from any forum unaiona according to time So ni mwendo wa kurefresh tuu [emoji7]
So far unaweza kusubscribe forum you want
Hapa ninapo andika sioni mambo mengine zaidi ya keyboard na nachokiandika
kwenye Browser Sasa [emoji38] huko chini Kuna mambo kibao mara kushare whatsApp, twitter, fesibook,forum statistics hapo kule chini kuna contact us, Who we are, Where we are [emoji38][emoji38][emoji38] ni vitu vizuri lakini Vina kera
Kwanini ujiweke gerezani duniana Hapa jipe raha, kwenye App vitu ni Soft Touch bwana eeeh [emoji16][emoji16][emoji16]
Nipooooooo mwalimu wanguπ€ͺWale wadau wenzangu wa Browser mko wapi eti? π
Sesten Zakazaka
Sanchez magoli
Penison
Mgagaa na Upwa
Numbisa
ukhuty pia siku hizi uko kwenye hiki chama chetu nini kilikuvutia?
ππNipooooooo mwalimu wanguπ€ͺ
Nakula matunda ya darasa lako
Usinicheke basi mwalimuππππ
Browser natumia tu lakini π .....Wale wadau wenzangu wa Browser mko wapi eti? π
Sesten Zakazaka
Sanchez magoli
Penison
Mgagaa na Upwa
Numbisa.
ukhuty pia siku hizi uko kwenye hiki chama chetu nini kilikuvutia?
Huna jinsi. πBrowser natumia tu lakini π .....
Sio msala kiasi hiko
Ndiodo you mean unatumia browser ya simu?
Page to page uwa inanipa shida,Moderator waangalie namna ya kufanya app irudi kama awaliHuna jinsi. π
Mwenyewe wataka ukisoma nyuzi utiririke tu hutaki habari ya next upande wa kuzipata kurasa. π