Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,556
Mkuu vipi jana ulimsikiliza Ambangile na wenzie jinsi walimpamba Messi?
Toka corona ianze nimepunguza sana kusikia radio, naona kama wanarudia rudia sana vitu.
Vipi lakini uchambuzi ulikuwa powa?