Application Users Vs Browser Users

Application Users Vs Browser Users

Aise nikajua ni kwangu tu kumbe ni wengi, yaani sasa hivi niko nahangaika na librowser hili natamani hata nitupe simu.
Ujue Mimi nafungua tangu saa9 haifunguki
Nimekomaa Hadi muda huu..nikaamua nilitafute tu librowser 😖
 
Tunaingia humu JF kwa kutumia hizo njia mbili embu tuambie wewe unatumia ipi kati ya hizo?

Muambie mtu ambae hatumii njia yako vitu ambavyo vinakukera na vinavyo kuvutia zaidi katika njia yako...

Kuna sehemu niliona mtumiaji wa Browser akimuambia mtumiaji wa App kwamba App wanatumia wazee 😀...

COVID 19 ipo tujikinge kwa kufuata ushauri tunaopewa na wataalamu
Sikujua muazisha mada ni
 
Ujue Mimi nafungua tangu saa9 haifunguki
Nimekomaa Hadi muda huu..nikaamua nilitafute tu librowser 😖
Mie nilikuwa busy tangu mchana, ndiyo nimegundua baada ya kushika tena simu jioni hii naona kitu hakifunguki.

Nikasema daah, naona sasa uongozi wa JF umeamua kuwapa watumiaji wa browser points za bure kabisa kuzidi kututukana.
 
Mie nilikuwa busy tangu mchana, ndiyo nimegundua baada ya kushika tena simu jioni hii naona kitu hakifunguki.

Nikasema daah, naona sasa uongozi wa JF umeamua kuwapa watumiaji wa browser points za bure kabisa kuzidi kututukana.
Au ndio wanataka kutupia kile chombo kipya!?

Mimi najikaza tu kisabuni..naona Kama Niko kifungoni
 
Haki vile jana ulivyo ni tag nilijibu nikapotea mda huu ndio naona muazisha mada ni.....
Naanza kusoma comments moja baada ya nyingine 😀😀
Hahah! Sawa mpendwa karibi sana ila unanirusha sana Roho na hiyo......

😀😀
 
Back
Top Bottom