Application Users Vs Browser Users

Application Users Vs Browser Users

Tunaingia humu JF kwa kutumia hizo njia mbili embu tuambie wewe unatumia ipi kati ya hizo?

Muambie mtu ambae hatumii njia yako vitu ambavyo vinakukera na vinavyo kuvutia zaidi katika njia yako...

Kuna sehemu niliona mtumiaji wa Browser akimuambia mtumiaji wa App kwamba App wanatumia wazee 😀...

COVID 19 ipo tujikinge kwa kufuata ushauri tunaopewa na wataalamu
Napenda kutumia ya browser maana kwaupande mwingine ninasave storage ya simu kutumika bila sababu, hata instagram nayo naingilia kwenye browser.
 
Hahah! Siku hiyo Mwakalebela alitrend sana hata wenyewe waliita ile siku ni Mwakalebela day 😀

Nakumbuka, kilichoniboa ni vile hadi kipindi cha jioni waliendelea vile vile.

Nikaona ni kwa sababu sasa hivi taarifa ziko chache.
 
Ee kumbe hata picha azifunguki huko kwenye app, Next Man ya kweli haya
Sio kweli zinafunguka bhana Mkuu
Mbona Mnaanza-kuexaggurate Mambo
Huku Notifications tuu ndio shida [emoji28]

Tufanye Kila mtu Ashinde Mechi Zake bwanaa [emoji2]

Narudia i like complexity ila sio katika vitu visivyo nijenga
 
Sio kweli zinafunguka bhana Mkuu
Mbona Mnaanza-kuexaggurate Mambo
Huku Notifications tuu ndio shida [emoji28]

Tufanye Kila mtu Ashinde Mechi Zake bwanaa [emoji2]

Narudia i like complexity ila sio katika vitu visivyo nijenga
Ok kumbe mdau wa App katudanganya.
Ahsante kwa feedback
 
Imeanza kurudi kwa kupata notification,nadhani baada ya muda picha pia zitaanza kufunguka [emoji847]
Ok kumbe mdau wa App katudanganya.
Ahsante kwa feedback

Nadhani wengi Sijui hawajui hii App iko updated, Waa-update App zao everything is good Mkuu Notifications tuu. [emoji2][emoji2][emoji2]

Niliandika tuu ni namna gani navyoona App is the best kuliko Browser
Kama Unatumia Browser tumia kama unatumia App tumia wala hakuna kesi Wazee [emoji106]

Maana Naona watu tunaanza kuchambana Sasa humu Hahahahh
 
Nadhani wengi Sijui hawajui hii App iko updated, Waa-update App zao everything is good Mkuu Notifications tuu. [emoji2][emoji2][emoji2]

Niliandika tuu ni namna gani navyoona App is the best kuliko Browser
Kama Unatumia Browser tumia kama unatumia App tumia wala hakuna kesi Wazee [emoji106]

Maana Naona watu tunaanza kuchambana Sasa humu Hahahahh
Wala Usijali mkuu wote ni watumiaji wa jamiiForum. Na kila mtu anapata kile anachotaka.
Hii mada nafkiri ipo kwa ajili ya kutuchallenge tu na kutaniana kidogo.
 
Zilipotelea humo humo?
Yaani😂😂
Nimezipata WhatsApp video nilizowahi kutumia watu mwaka juzi😂😂😂
Ngoja nikiingilia app ntakuonesha picha..now natumia librowser lenu😖
 
Yaani😂😂
Nimezipata WhatsApp video nilizowahi kutumia watu mwaka juzi😂😂😂
Ngoja nikiingilia app ntakuonesha picha..now natumia librowser lenu😖
Jamani amkeni amkeni amkeni 📣📣📣

Mtu anatumia Browser huku
 
Back
Top Bottom