Application Users Vs Browser Users


Sawa, tuahirishe mpambano, maana naona hii imekuwa ligi ya upande mmoja.

Tusubiri wajipange upya kwa kusajiri hayo marekebisho.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kuna saa unakuaga mtata. Sasa wenye magazeti yao wakayatupie wapi jamani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Haha kukujibu mwisho two lines πŸ™ŒπŸ™Œ
Aone hii huyu bibi Zuu ZoΓ«
Nimempa tahadhari tu huyu mdogo wangu mana ni mwandishi mzuri wa magazeti ili akiwa na mastori mengi apige tu simu πŸ˜‰πŸ˜‰ na sio kuniandikia mgazeeeeti huo ambao mwisho wa siku anasema App ikirekebishwa watahamia huku. πŸ˜€.
 
Toka corona ianze nimepunguza sana kusikia radio, naona kama wanarudia rudia sana vitu.

Vipi lakini uchambuzi ulikuwa powa?
Kweli toka mambo ya simame siku hizi wanakosa kabisa vitu vya kuzungumza hivyo wanaungaunga tu

Yaah! Naona walimchambua vyema kabisa katika kumtofautisha na hasimu wake Cr7
 
Browser ipo juu hasa kwenye kuchokza watu wenye timu zao notification inafika faster ligi inaenda murua,tukana nikutukane,bisha nikubishie. Ban paap na ka meseji unakaona ila nawaomba mods kwenye ka sms ka ban wawe wanaweka na jina la mod aliyetoa ban ili hilo bifu alibebe
 
Kweli toka mambo ya simame siku hizi wanakosa kabisa vitu vya kuzungumza hivyo wanaungaunga tu

Yaah! Naona walimchambua vyema kabisa katika kumtofautisha na hasimu wake Cr7

Huwa wanaweka vipindi vyao YouTube, nitakitafuta hicho kipindi niwasikie.

Kuna siku nilisikia ile Sports Arena asubuhi wakimzingumzia Mwakalebela, jioni nikawasikia tena wanaendelea na topic hiyo hiyo, tokea hapo nikapumzika kuwasikiliza.
 
Huwa wanaweka vipindi vyao YouTube, nitakitafuta hicho kipindi niwasikie.

Kuna siku nilisikia ile Sports Arena asubuhi wakimzingumzia Mwakalebela, jioni nikawasikia tena wanaendelea na topic hiyo hiyo, tokea hapo nikapumzika kuwasikiliza.
Hahah! Siku hiyo Mwakalebela alitrend sana hata wenyewe waliita ile siku ni Mwakalebela day πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…