Hapo sasa
Ujue Mimi nafungua tangu saa9 haifungukiAise nikajua ni kwangu tu kumbe ni wengi, yaani sasa hivi niko nahangaika na librowser hili natamani hata nitupe simu.
App ni kimeo jamani poleni sana
Toa maoni pale mamaππππππ€£π€£π€£π€£ dah usinifanye nicheke kwa nguvu
Sikujua muazisha mada niTunaingia humu JF kwa kutumia hizo njia mbili embu tuambie wewe unatumia ipi kati ya hizo?
Muambie mtu ambae hatumii njia yako vitu ambavyo vinakukera na vinavyo kuvutia zaidi katika njia yako...
Kuna sehemu niliona mtumiaji wa Browser akimuambia mtumiaji wa App kwamba App wanatumia wazee π...
COVID 19 ipo tujikinge kwa kufuata ushauri tunaopewa na wataalamu
Haki vile jana ulivyo ni tag nilijibu nikapotea mda huu ndio naona muazisha mada ni.....Muanzisha mada ni nini? π
Mie nilikuwa busy tangu mchana, ndiyo nimegundua baada ya kushika tena simu jioni hii naona kitu hakifunguki.Ujue Mimi nafungua tangu saa9 haifunguki
Nimekomaa Hadi muda huu..nikaamua nilitafute tu librowser π
Au ndio wanataka kutupia kile chombo kipya!?Mie nilikuwa busy tangu mchana, ndiyo nimegundua baada ya kushika tena simu jioni hii naona kitu hakifunguki.
Nikasema daah, naona sasa uongozi wa JF umeamua kuwapa watumiaji wa browser points za bure kabisa kuzidi kututukana.
ππππ jamani Mungu anakuona eti ujueToa maoni pale mamaπππππ
Haya Mambo,Mimi siku ya kwanza kuona nilistuka nusu nitupe simuπ
Chizi Sana weweππππMax haogopi laana za wazee? π
Teh hata sielewi, naona kaamua kututukanisha watumiaji wote wa app yaani katufanya wote tuonekane hatuna maana daah.Kwanini Max anawatesa hivi nyie wazee waka kula Pension? π€£
Wewe ulizionaje?ππππ jamani Mungu anakuona eti ujue
Teh hata sielewi, naona kaamua kututukanisha watumiaji wote wa app yaani katufanya wote tuonekane hatuna maana daah.