Yaani wewe nahisi haujikazi mama, mie hapa nahisi natoka JF muda si mrefu na sirudi tena hadi app ifunguke kwahiyo mtu asiniquote tena hadi lini sijui.Au ndio wanataka kutupia kile chombo kipya!?
Mimi najikaza tu kisabuni..naona Kama Niko kifungoni
Hazifanani na yeye kabisa kusema ukweliWewe ulizionaje?
Mimi mwenyewe natoka.Yaani wewe nahisi haujikazi mama, mie hapa nahisi natoka JF muda si mrefu na sirudi tena hadi app ifunguke kwahiyo mtu asiniquote tena hadi lini sijui.
Bora nifanye mambo mengine tu, browser ngumu sana.
Naanzaje mamaHalafu mtafute mjomba wako Melo,
Mwambie anazingua Sana
Zinafananaje?Hazifanani na yeye kabisa kusema ukweli
Kwa kweliMimi mwenyewe natoka.
Huu ugumu wa kutumia Hili dude lao utadhani tunapambana kulima shambaπ
Ndugu yako YuleNaanzaje mama
ππππ mama haya mengine ni ya kuongea chemba, hapa naogopa tutastukiwa bure maana.Zinafananaje?
πππππ
Mimi nilijua sijui mtu gani kutoka huko usafwani ndanindani
Kanatisha aisee
Acha kunichekeshaπππ
Sijui utaambia Nini watu.ππππ mama haya mengine ni ya kuongea chemba, hapa naogopa tutastukiwa bure maana.
Inaonekana yeye mwenyewe anaikubali sana browser kuliko app, ila hiyo mimi hainihusu.πππ chizi wewe!
Kaamua kufunga hii debate kwa njia hiyo kuonyesha yupi zaidi
Teh, kanichoka mwenzako yule.Ndugu yako Yule
Nasubiri nenda mkarekebishe app yetu jamaniπ
Huu mjadala tulishaufunga Jana na comments za Next Manπππ chizi wewe!
Kaamua kufunga hii debate kwa njia hiyo kuonyesha yupi zaidi
ππππ yaani nawaza akijua sijui itakuwaje, shauri yako mi usinitaje.Sijui utaambia Nini watu.
Byeeeπ
Halafu nadhani anatumia browser yuleInaonekana yeye mwenyewe anaikubali sana browser kuliko app, ila hiyo mimi hainihusu.
Kwani Ni Nani hivi mweeππππππππ yaani nawaza akijua sijui itakuwaje, shauri yako mi usinitaje.
Ulionaje ?? Mie niliona kwenye ile video yake ya tutorial youtube aliyokuwa anaelezea namna ya kutumia JF sema ilikuwa katika desktop version !!Halafu nadhani anatumia browser yule
Niliona ile siku amenibadilishia jina.