Application Users Vs Browser Users

Kwani ni mara ngapi watumiaji wa App wanalalamika kwamba hawapati notifications na wakaahidiwa kwamba tatizo litatatuliwa? Baada ya kupewa hizo taarifa waliacha kulalamika au hadi leo bado wanalia tu kama siku zote?

Sasa kufanya hivyo haimaanishi kwamba wahusika hawana taarifa bali inakuwa kama ni kuwakumbusha kumbusha tu mzee
 

Sawa Sawa Mkuu nimekupata
.
Ngoja tuwauliza Sasa
Technician wa JF mnashindwa nini kutatua hili tatizo ?
Davet anataka kuwapiga tafu kidgo [emoji38]
Anae Software Engineer wake if interested mnaweza mkamcheki PM (joke)
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…