Application Users Vs Browser Users

Application Users Vs Browser Users

Una nasal polyps??
Hawajawahi kukupa spray??
Ninayo na hii
IMG_20200506_210228_3.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah!
Pole dear
Pamoja na yote sijawahi kosa appetite ya kula[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hata nibanwe vipi.

Kuna clinic nilienda dkt akawa ananiambia itakuwa rangi zako za kucha hizo zinapelekea tatizo kuendelea nikamwambia hizi rangi nimepaka Jana tu, huna sipaki rangi,akasema itakuwa unakaa Kwenye vumbi, nikamwambia mazingira ninayoishi Ni masafi,akasema mashuka nikamwambia nabadilisha mara3 kwa wiki
Baadaye akanambia ooh usikate hizo nyama.. baadaye anasema Tena wanaoweza kukutibu kukukata Ni Benjamin dodoma,muhimbili na KCMC

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pamoja na yote sijawahi kosa appetite ya kula[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hata nibanwe vipi.

Kuna clinic nilienda dkt akawa ananiambia itakuwa rangi zako za kucha hizo zinapelekea tatizo kuendelea nikamwambia hizi rangi nimepaka Jana tu, huna sipaki rangi,akasema itakuwa unakaa Kwenye vumbi, nikamwambia mazingira ninayoishi Ni masafi,akasema mashuka nikamwambia nabadilisha mara3 kwa wiki
Baadaye akanambia ooh usikate hizo nyama.. baadaye anasema Tena wanaoweza kukutibu kukukata Ni Benjamin dodoma,muhimbili na KCMC

Sent using Jamii Forums mobile app
Duh! sauti yako yakubana kumbe
 
Back
Top Bottom