Je ni sawa watoto wadogo (chini ya miaka 5) kutumia simu janja na mtandao?

  • Ndiyo ni Sahihi

    Votes: 12 21.1%
  • Si sahihi

    Votes: 31 54.4%
  • Inategemea, mambo yote yana uzuri na ubaya wake

    Votes: 14 24.6%

  • Total voters
    57
Hujifunzi lugha bila kuifanyia mazoezi. Kufanyia mazoezi lugha ya Kiingereza pakua app ya Tuni Comics kwenye Google Play store H A P A
 
Usiache kutumia app ya Tuni Comics inayopatikana kwenye Google Playstore ujifunze Kiingereza kwa Kiswahili kutumia katuni fupi za kuvutia.
 


Toleo jipya la app ya Tuni Comics limetoka kwa wenye simu za Android 👉🏽 Tuni Comics - Apps on Google Play

Tuni Comics ni app ya katuni za watoto za kuwasaidia kujifunza Kiingereza mtandaoni. Katuni hizi zinaweza kupakuliwa ili zisomwe bila mtandao.

Kwenye toleo hili, katuni zetu zina sauti ambapo unaweza kusikia matamshi fasaha ya maneno mbalimbali ya Kiingereza na Kiswahili

Kwa maswali, maoni, ushauri, malalamishi nk. wasiliana nasi hapa au kwenye mitandao ya kijaamii 👇🏼

Tiktok
Facebook
Instagram
Twitter

 
Katuni za watoto za kujifunzia kwa lugha ya Kiingereza na Kiswahili zinapatikana kwenye app ya Tuni Comics. Ipakue app hii h a p a.
 
Tuni Comics inawatakia sikukuu njema na tunawashukuru kwa kuwa nasi mwaka mzima.
 
Heri ya mwaka mpya 2025. Tunawatakia mwaka wenye mafanikio na tuendelee kujifunza na Tuni Comics kama ilivyokuwa miaka iliyopita.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…