naskia app za mkopo ili upewe mkopo lazima ukubali hilo ndo hapo wanapowabanaila waTz vitu vidogo vinawashinda... APP yoyote unauwezo wa kuizuia isichukue taarifa zako... Ni vile hamtak kutumia akili
baada ya hapo block permission ya ku access... huwa mnawapa namba za cm za kweli ili iweje... kila technology ina mwanya wa wewe kuutumia kujinasua...naskia app za mkopo ili upewe mkopo lazima ukubali hilo ndo hapo wanapowabana
Dawa ya deni kulipa mkuu. Mnafundishana ufisadi?baada ya hapo block permission ya ku access... huwa mnawapa namba za cm za kweli ili iweje... kila technology ina mwanya wa wewe kuutumia kujinasua...
Well ni wewe user umewapa hiyo access. Husomi terms and conditions halaf pia kwenye simu ume allow access ya app kusoma contact zakoKama kuna siku nimewahi kudhalilika basi ni leo.
Hivi jamani hawa jamaa wanao-deal na application za kutoa mikopo wanapata wapi haki yakuingilia faragha kwenye simu ya mteja nakuhack majina kisha kutuma jumbe za udhalilishaji yani leo nimevuliwa nguo Wanajamvi wenzangu daah!
What a shame ila kuna haja ya mamlaka ya mawasiliano kuliangalia hili suala
Ngoja waje wa Romania au wa Bulgaria wafunge kaziHapo ni Wakenya wamejichanganya kidogo na Wanigeria mnalilia hivi wakija Wasenegeli hata nafasi ya kulia humu hautaipata maana wale hawachezi na hela za kwenye simu wao wanaangalia ule unaolipwa kupitia Bank nachoshukuru huku EA hawapo..
Ni wewe mwenyewe huwa unaipa ruhusa hiyo application ya ku access contacts baada ya kudownloadKama kuna siku nimewahi kudhalilika basi ni leo.
Hivi jamani hawa jamaa wanao-deal na application za kutoa mikopo wanapata wapi haki yakuingilia faragha kwenye simu ya mteja nakuhack majina kisha kutuma jumbe za udhalilishaji yani leo nimevuliwa nguo Wanajamvi wenzangu daah!
What a shame ila kuna haja ya mamlaka ya mawasiliano kuliangalia hili suala
Hata Hungary wakiona mzigo uliopo Bank kwanza wanaubadilisha kwa dollar wanaona tuna chenji tu..Ngoja waje wa Romania au wa Bulgaria wafunge kazi
Ova
Ni condition yao ili ufike sehemu ya kukopa hapo lazima ubonyeze kukubali...vi Application vya kitapeli huwa navifatilia najua vijana wa Desi wataingia tu..Ni wewe mwenyewe huwa unaipa ruhusa hiyo application ya ku access contacts baada ya kudownload
ila waTz vitu vidogo vinawashinda... APP yoyote unauwezo wa kuizuia isichukue taarifa zako... Ni vile hamtak kutumia akili