Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Permission request
Contacts
Location
Calls and sms
Pictures and video
Contacts
Location
Calls and sms
Pictures and video
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole mkuu,Mimi waliniita tapeli na kuwapigia jamaa zangu na kunitisha wananifuata na kunipeleka mahakamani, Sasa nilitaka kuwalipa, namsubiria hiyo mahakama YaoKama kuna siku nimewahi kudhalilika basi ni leo.
Hivi jamani hawa jamaa wanao-deal na application za kutoa mikopo wanapata wapi haki yakuingilia faragha kwenye simu ya mteja nakuhack majina kisha kutuma jumbe za udhalilishaji yani leo nimevuliwa nguo Wanajamvi wenzangu daah!
What a shame ila kuna haja ya mamlaka ya mawasiliano kuliangalia hili suala
Sawa ndo utumie Lugha za kihuni!Permission request
Contacts
Location
Calls and sms
Pictures and video
Wapi hapoS
Sawa ndo utumie Lugha za kihuni!
Ukichelewesha kuwalipa Wanasema,wewe ni tapeli subiria tukukamate ukakumbane na mahakama !Wapi hapo
Nilfiwa na baba mzazi!Kilichofanya usilipe deni lao ni kipi?
Maskini hana haki mzee.Kwahiyo Kama sikulipa ndio nidhalilishwe?? huo ndio ujinga wakutokutambua haki zako
Tofauti hapo ni kuingilia mfumo wa mawasiliano yako lkn kutangazwa hata Bank huwa wanatangaza kwa kutumia vipaza sauti na kuzunguka mji mzima.Kama kuna siku nimewahi kudhalilika basi ni leo.
Hivi jamani hawa jamaa wanao-deal na application za kutoa mikopo wanapata wapi haki yakuingilia faragha kwenye simu ya mteja nakuhack majina kisha kutuma jumbe za udhalilishaji yani leo nimevuliwa nguo Wanajamvi wenzangu daah!
What a shame ila kuna haja ya mamlaka ya mawasiliano kuliangalia hili suala
Wewe ndio umewapa ruksa ya Kufanya hvy, au ww umekimbilia kuchukua huo mkopo wa laki kisha kurudisha laki na nusu bila kusoma vigezo.?
Kumbe Mkopo wa laki riba elfu 50 du
Watanzania ni wagumu sana kulipa madeni Kuna watanzania baadhi nilishawahi kuwakopesha mwisho wakaishia kuniwekea bifuKama kuna siku nimewahi kudhalilika basi ni leo.
Hivi jamani hawa jamaa wanao-deal na application za kutoa mikopo wanapata wapi haki yakuingilia faragha kwenye simu ya mteja nakuhack majina kisha kutuma jumbe za udhalilishaji yani leo nimevuliwa nguo Wanajamvi wenzangu daah!
What a shame ila kuna haja ya mamlaka ya mawasiliano kuliangalia hili suala
Naona umenikasirikia bure tu... Utakua umeajiriwa kutuma msg kwa ndugu wa wadaiwa, nasikia mnalipwa shilingi 300 mteja akilipa deni 😂😅 sasa mnanitumia msg mimi ambaye wakat unamkopesha ndug yangu hukunishirikisha halafu leo unataka nilipe deni lake mna akili kichwani au mmejaza mavi..?Dawa ya deni kulipa mkuu. Mnafundishana ufisadi?
Mshauri ndugu yenu alipe tu sio kufundishana jinsi ya kukimbia deni.Naona umenikasirikia bure tu... Utakua umeajiriwa kutuma msg kwa ndugu wa wadaiwa, nasikia mnalipwa shilingi 300 mteja akilipa deni 😂😅 sasa mnanitumia msg mimi ambaye wakat unamkopesha ndug yangu hukunishirikisha halafu leo unataka nilipe deni lake mna akili kichwani au mmejaza mavi..?
Wa Romania wanakomba mpaka identity yako kiasi kwamba ukijitambulisha kuwa wewe ni fulani system ina kataa.Ngoja waje wa Romania au wa Bulgaria wafunge kazi
Ova
Shida hamsomagi.....app mwanzoni kabisa zinaombaga ruhusa yako ili zipate access ya vitu tofauti kwenye simu yako wengi mnakubaligi ndo hayo yanatokeaKama kuna siku nimewahi kudhalilika basi ni leo.
Hivi jamani hawa jamaa wanao-deal na application za kutoa mikopo wanapata wapi haki yakuingilia faragha kwenye simu ya mteja nakuhack majina kisha kutuma jumbe za udhalilishaji yani leo nimevuliwa nguo Wanajamvi wenzangu daah!
What a shame ila kuna haja ya mamlaka ya mawasiliano kuliangalia hili suala
Hapa umezingua seems we nae ni mwizi tu. Kwahiyo mnakopa ili muwadhurumu?huwa mnawapa namba za cm za kweli ili iweje...
Na download kiaje hii app nataka niwakope sasa hivi.Nenda kwenye app bonyeza kama sekunde tatu hivi kisha chagua app information kisha kataa hizo allow.
Hapo utawaweza.