OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Hizi ni post za baadhi ya wachezaji na wafanyakazi wa Simba Sc,wanajua kazi anayofanya Mwenyekiti wao.
Wanajua njaa ya wachezaji wenzao timu zingine.
Leo hii Simba ni timu kimbilio ya kila mchezaji Afrika hii.
Leo hii Simba ni timu ya 12 Afrika.
Ukitumika tumika kwa akili, usitumike vibaya
Wanajua njaa ya wachezaji wenzao timu zingine.
Leo hii Simba ni timu kimbilio ya kila mchezaji Afrika hii.
Leo hii Simba ni timu ya 12 Afrika.
Ukitumika tumika kwa akili, usitumike vibaya