Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unafikiri simba inaendeshwa Kama masiasa yenu ya kiccm ?Nafikiri kuna kitu kinaendelea ndani, hii watakuwa wachezaji wameambiwa kumpost hili ionekane jamaa anaungwa mkono na kila mtu ndani ya Simba
Unategemea wam support Manara atawalipa mshahara?Huu ndo upuuzi aliosema Manara, "Dai kwenye wimbo wako wa kutajwa ni Mo tu" kwa hiyo hao wachezaji wanamsifia Mo kwa sababu wanampenda au kwa sababu tu au wanalazimishwa kupost?
Nadhani kuna bonus ktk hiliWachezaji wameshajua kwamba ugonjw wa MO ni misifa Sasa ndio wameamua wa mmiminie misifa ya kutosha ili ajisikie vizuri, si ajabu uongozi wa Klabu na wenyewe uka mwaga misifa ili Bwanyenye ajisikie poa.
MWENYEKITI WA NINI ?
Hebu tutajie matangazo matatu ya Mo yanayopatikana kwenye jezi ya Simba kwa pamoja.Kuchkuch anafawafanya mazezeta,
Kajaza matangazo ya kampuni zake kwenye jezi halafu anasema hataki faida na yakija makampuni mengine anayawekea figisu,ili kampuni zake tu ndio zitangaze
Yule mzee wenu mpili yuko wapi
Huo ndiyo ukweli Mkuu,yaani wamtukane Boss?Nafikiri kuna kitu kinaendelea ndani, hii watakuwa wachezaji wameambiwa kumpost hili ionekane jamaa anaungwa mkono na kila mtu ndani ya Simba
Tatizo lako ushabiki huwa unakuondoa akili. Huoni kuna kitu nyuma ya pazia. Huu uzi angeuanzisha mtoto wa kindergarten nisingejali maana
Usingekuwa UTOPOLONI, ningeamini maneno yako!Tapeli la kidosi, mkuanza kulihoji maswali magumu ndipo mtajua kwamba klabu kishaigawa kwa familia yake
MAUTOPOLO mna kazi!Muhindi mswahili sana
Keshageuza wachezaji machawa wake
Wamemkataa manara waziwazi wamegundua kile ni kirusi...........
Njaa mbaya sana .Kuna mgawanyiko mkubwa sana ndani ya Club ya Simba hili litajidhihirisha msimu mpya ukianza.Kwa sasa kinachoendelea ni kuficha maradhi badala ya kukaa vikao kujadili hali iliyopo na kutafuta suluhisho . Watu wanamuabudu mtu kwa sababu ya Umasikini wao huku chini chini wanalalamika .Muda utasema ligi itakapoanza pale timu itakapopata matokeo hasi yasiyo ya kawaida ndiyo watagundua ndani ya Club mpaka nje kuna shida.Wengine wanapambana kutafuta ushindi na wengine wanapambana kuhujumu ushindi kukomoana na kuonyeshana umwamba .Ile kauli ya kusema Simba Nguvu Moja haipo tena.Tujiandae kwa hilo kwani mficha maradhi kifo umuumbua.Muda utasema
Ndio umejibu tayari siyo?Hapa inahusisha jezi na vifaa vyote vinavyotumika na wachezaji Wa simba ktk program za simba