Appreciation posts za wachezaji wa Simba kwa Mo Dewji

Appreciation posts za wachezaji wa Simba kwa Mo Dewji

Kuchkuch anafawafanya mazezeta,

Kajaza matangazo ya kampuni zake kwenye jezi halafu anasema hataki faida na yakija makampuni mengine anayawekea figisu,ili kampuni zake tu ndio zitangaze
 
Mzungu feki kwisha habari yake,hii inaonyesha mkakati wake aliotumwa kuivuruga Simba umefeli vibaya.Simba mwendo mdundo,tunaanza kwanza ngao ya hisani kwa kumdidimiza Utopolo goli zisizopungua tatu.
 
Mo amefanya makubwa kwenye huu mpira wa Tanzania kupitia simba. Ni binadamu ana mapungufu lakini anasimamia misingi ya taasisi sawa. Mtu mswahili na asie jua maana ya misingi ya taasisi atamuona Mo mbaya. Hata vitabu vya dini hasahasa biblia imesema hauwezi kuwatumikia mabwana wawili kwa wakati mmoja. Msaliti ni msaliti tu maana hata historia inajieleza. Tuishi kwa kuheshimu taasisi unayoifanyia kazi na ukiachwa achika. Siku zote uongo ni mtamu masikioni mwa mpumbavu lakini uongo huleta fikra pana kwa mwenye maarifa. Uongo unapokelewa haraka hasahasa na maadui zako na wale walionyimwa fikra pana. Jiulize kwanini iwe baada ya kuachwa.??? Wameondoka wachezaji simba kina shibob nk hawaja wahi kuelezea ubaya wa MO au management kwa ujumla. Tutumie maarifa machache tuliyobarikiwa. Na muongo hakumbi jana alisema nini.
 
Mo ni Tapeli. Sasa analazimisha wachezaji wamsifie ili aonekane msafi.
 
Huu ndo upuuzi aliosema Manara, "Dai kwenye wimbo wako wa kutajwa ni Mo tu" kwa hiyo hao wachezaji wanamsifia Mo kwa sababu wanampenda au kwa sababu tu au wanalazimishwa kupost?

Kwasababu anawalipa Mishahara
 
Huu ndo upuuzi aliosema Manara, "Dai kwenye wimbo wako wa kutajwa ni Mo tu" kwa hiyo hao wachezaji wanamsifia Mo kwa sababu wanampenda au kwa sababu tu au wanalazimishwa kupost?
Nyuma ya kapeti mengi, kila mtu analinda jiko lake lisiharibike, mlitegemea wampost manara au
 
Mo amefanya makubwa kwenye huu mpira wa Tanzania kupitia simba. Ni binadamu ana mapungufu lakini anasimamia misingi ya taasisi sawa. Mtu mswahili na asie jua maana ya misingi ya taasisi atamuona Mo mbaya. Hata vitabu vya dini hasahasa biblia imesema hauwezi kuwatumikia mabwana wawili kwa wakati mmoja. Msaliti ni msaliti tu maana hata historia inajieleza. Tuishi kwa kuheshimu taasisi unayoifanyia kazi na ukiachwa achika. Siku zote uongo ni mtamu masikioni mwa mpumbavu lakini uongo huleta fikra pana kwa mwenye maarifa. Uongo unapokelewa haraka hasahasa na maadui zako na wale walionyimwa fikra pana. Jiulize kwanini iwe baada ya kuachwa.??? Wameondoka wachezaji simba kina shibob nk hawaja wahi kuelezea ubaya wa MO au management kwa ujumla. Tutumie maarifa machache tuliyobarikiwa. Na muongo hakumbi jana alisema nini.
Ivi unategemea tajiri mjanja agombane na wachezaji, wachezaji sio simba, leo wapo apa kesho kule, ila ukitaka kuteka timu badirisha uongozi wao weka wako, wachezaji ni wapitaji, apo ndo manara yakamkuta
 
Ivi unategemea tajiri mjanja agombane na wachezaji, wachezaji sio simba, leo wapo apa kesho kule, ila ukitaka kuteka timu badirisha uongozi wao weka wako, wachezaji ni wapitaji, apo ndo manara yakamkuta
Hakika umenena,anaewapa mishahara na bonus wachezaji ndo anakua na surport ya wachezaji,Haji ni tajiri wa mdomo tu ila kichwani na mfukoni hana kitu.
 
Ivi unategemea tajiri mjanja agombane na wachezaji, wachezaji sio simba, leo wapo apa kesho kule, ila ukitaka kuteka timu badirisha uongozi wao weka wako, wachezaji ni wapitaji, apo ndo manara yakamkuta
Ingekua hivyo makocha nao wangeshindwana nayeye. Tusimamie maadili ya taasisi katika uendeshaji na ukiachwa achika. Kila mtu ndani ya taasisi ni mpitaji. Yaani unaongea ubwabwa tupu. Hivi c tunahitaji mabadiliko ya kiundeshaji kwenye hz timu zetu zoote tuenende kisasa sasa kwanini tusizingatie maadili ya kazi. Dunia ipi au timu gani duniani mfanyakazi wake awe ana uhusiano na club nyingine bila kujali club yake. Tuache uswahili bwana tuzingatie maadili ya taasisi. Manara ashawahi kuleta kocha au kusajili mchezaji mle simba..? Kina chama, luis, kagere, onyango, wawa, na wote kwa ujumla manara asha wahi hata kufanya tafiti za kujua viwango vyao wakaletwa pale simba .?? Tutumie fikra zetu kutafakari kwa ukubwa zaidi sio kuleta uswahili.
 
Hakika umenena,anaewapa mishahara na bonus wachezaji ndo anakua na surport ya wachezaji,Haji ni tajiri wa mdomo tu ila kichwani na mfukoni hana kitu.
Kabsa. Eti ameifikisha simba mbali. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] maneno sio mipango. Mimi hili sina hata chembe ya kumtetea manara. Alistahili kufutwa tena muda saana.
 
Huu ndo upuuzi aliosema Manara, "Dai kwenye wimbo wako wa kutajwa ni Mo tu" kwa hiyo hao wachezaji wanamsifia Mo kwa sababu wanampenda au kwa sababu tu au wanalazimishwa kupost?
Barbara kawasimamia lazima uposti au itakucosti 🐒
 
Back
Top Bottom