OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
analipa mishahara kwa wakatiSababu haswa ya kumpost hivi ni nini ? .. ni birthday yake au ?? ..
Ulitaka wampost mzee kilomoni?Huu ndo upuuzi aliosema Manara, "Dai kwenye wimbo wako wa kutajwa ni Mo tu" kwa hiyo hwao wachezaji wanamsifua Mo kwq sababu wanampenda au kwa sababu tu Au wanalazimishwa kupost?
Sababu haswa ya kumpost hivi ni nini ? .. ni birthday yake au ?? ..
Wanamuabudu mungu mtu waoSababu haswa ya kumpost hivi ni nini ? .. ni birthday yake au ?? ..
Kumbuka amesoma shule za maana ambazo hazina uswahili lakn Bado yupo Kama Juma Ndambi wa keko magurumbasiTajiri ana wivu mpaka kwa maskini ataki watoboe
yap nayo inawezekana kukawa na msukumo wa wao kupost, lakini hata hivyo in reality huwezi ukapinga efforts za Mo kwenye mafanikio waliyopata simbaNafikiri kuna kitu kinaendelea ndani ......hii watakuwa wachezaji wameambiwa kumpost hili ionekane jamaa anaungwa mkono na kila mtu ndani ya simba