APR Imehujumiwa. Tukitaka kuendelea kisoka, Watanzania tuache hizi tabia

Kwanini umeitaja simba sasa kwenye uzi wako. Ni kwamba una mahaba sana na mnyama au una chuki kuliko na mnyama hahaaa
 
APR Hatuwezi kushiriki tena hii michuano

Ibaki kuwa ni michuano ya Znz
 
Ndo mjue nyie Utopoko....gongowazi hamna akili mmetolewa na APR kwa mpira mzito eti mmeamua kuwaachia kuwaachia kina nani...u
 
Apr alihujumiwa waziwazi, mwisho kocha alikua anatema cheche azam wakakatisha matangazo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…