Wamekata na simu hao.
Fundi Mchundo umesema unatumaini si uzembe? Kila kitu kinaonyesha kuwa haya ni matokeo ya uzembe, kama hii account ni ya kuaminiwa.Uzembe wao wa kusababisha mabomu yalipuke unawasababishia incovenience watu kuwakatia simu, watasema kwa sababu za usalama, yote hii ni katika kutapatapa waonekane wanafanya kazi.
Either that, or I fear...
Isije kuwa wamefanya makusudi kutoa statement kwamba "Jamani eeeh, na sie tupo, na midude inayotikisa mji mzima tunayo, sasa mkifanya ufisadi wakati sie tunakaa kwenye mikambi isiyo na hadhi ya kibinadamu wakati wowote tunaweza kufanya chochote"