Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli kuwa kuna tatizo la kupata simu baada ya milipuko hii?
Fundi, ni watu wanajenga karibu na kambi za jeshi au silaha zinahifadhiwa kwenye makazi ya watu?
Pale Dodoma kuna hospitali nzuri sana (inaitwa Mirembe) GT kama unahitaji tiba waweza kwenda pale utasaidiwa.
Soma hapa chini...Hali ni shwari sasa, turudi kwa RA kule.........
Polisi wanawazuia raia kukaribia eneo hilo kwani wandai mabomu yaliyolipuka ni 'cha mtoto' (akimaanisha madogo) na kuna bomu moja kubwa sana likilipuka basi litaweza kuzua mengine.
kwani hii ya leo inatofauti na ile ya jana?
maana jana i was so uncomfortable..unajua tena you never know hawa CHADEMA hawaaminiki
Hapana...Hali ni shwari sasa, turudi kwa RA kule.........
Nimeambiwa hivyo pia tena inasemekana mpaka sasa kuna tatizo la mawasiliano via landline, ati hata mobile communications zilikata! Hii inatokana na hii issue au ni michemsho ya TCRA?
Hapana...
Hali si shwari. Kuna hali ya hofu kwa wazazi wenye watoto wao maeneo yale (shuleni) ambao wanatafuta kila namna ya kupata watoto wao na hawapatikani.
Red Cross ndo wanawasili sasa hivi.
Kuna bomu ambalo linaelekea kulipuka muda wowote kuanzia sasa. Moto unaendelea kuwaka tena kwa kasi kubwa zaidi.
Kama ulivyosikia Waziri akitangaza, mlio kwenye majengo marefu Dar mkae mkao wa kukimbizana likilipuka lile linalohofiwa.
Vijana wawili wamekamatwa wakiwa wameiba mabaki ya mabomu na risasi za kutungulia ndege. Hii biashara ya vyuma chakavu itatutoa roho. Jamani walioko maeneo ya Mlimani tupeni habari hali ikoje huko? mitikisiko ni mikubwa?
Duh hadi Umoja house hebu nami nijifungefunge nirudi kwangu.
Invisible;
Hii ndo naita bla blah blah balaaaaaahhhh kutoka kwa waziri.
Inatakiwa huyo waziri aachane na politiki, awaachie wataalamu waseme hilo bomu la hatari linaloSUBIRIWA kulipuka likilipuka litafikia umbali wa KM ngapi?
Kwahiyo mtu anayeishi Tegeta kwenye ghorofa pia ashuke? au mwisho ni Chalinze?!?
Mie sishuki wanasiasa waongo.