Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
--------------------------------------------------------------------------------
kwani hii ya leo inatofauti na ile ya jana?
maana jana i was so uncomfortable..unajua tena you never know hawa CHADEMA hawaaminiki
kwani hii ya leo inatofauti na ile ya jana?
maana jana i was so uncomfortable..unajua tena you never know hawa CHADEMA hawaaminiki
Ni kweli kuwa kuna tatizo la kupata simu baada ya milipuko hii?
Fundi, ni watu wanajenga karibu na kambi za jeshi au silaha zinahifadhiwa kwenye makazi ya watu?
Poleni wakazi wa Mbagala. TzPride usipate presha sana kwa kuwa uko mbali na Familia. So far haitishi sana ila mwambie mama watoto afunge nyumba (maana vibaka hapa watafaidi sana) aende na watoto sehemu yoyote mbali na Mbagala kwa usalama zaidi.
kwani hii ya leo inatofauti na ile ya jana?
maana jana i was so uncomfortable..unajua tena you never know hawa CHADEMA hawaaminiki
kwa wanaofahamu hiyo kambi iko jirani na makazi ya watu?