April '09 Bomb Blasts in Dar (Mbagala) and responses

Jamani leteni habari zaidi....kunaendelea nini?
 
niko changombe ni balaa!
 
Jamani, huko jeshini ni salama? Kwa nini wakuu wakae kimya? Inatatanisha. Sijui zimetulia hizo bomu, au tuendelee kuchukua tahadhari?
 
Pale zilipo balozi za Uingereza, Ujerumani na Uholanzi karibu kabisa na ubalozi wa Canada na Norway. Ni maeneo ya Posta Mpya kama unaelekea International House na HolidayInn (Sasa Southern Sun Hotel).

mhh... ataelewa kweli?? tehe tehe tehe

Tayari ameshaelewa, yeye anapaita EU House.
 
Hii milipuko ni ya makusudi au ndiyo tumevamiwa?
Nani akuvamie we Fundi Mchundo???Nchi imejaa wezi,mafisadi na wanafiki wadhani kuna mtu ana tamani kuja kutuvamia??
Vamizi la mafisadi tuuu linatosha hilo hilo!!
Hapa hamna cha uvamizi wala nini ila bado TUNAENDELEZA UZEMBE wetu wa kila siku!!!!!
Haya kazi kwetu!!
 
...nipo kwenye Google Earth mida hii, natafuta hiyo kambi ya jeshi ilipo kabla sijatangaza msiba hapa... kuna jamaa zangu wengi tu mitaa ya Mbagala kizuiani, na Rangi tatu.

Mwenye 'data' anijuze...wapi ilipo hiyo kambi.
 
Isijekuwa hujuma maodita wanakuja kufanya oditingi ya silaha sasa zile zilizouzwa kwa magenge ya majambazi . Soo mwanangu njia pekee ni kuichoma ghala. Its just thinking a loud
 
Wana JF

Nimesikitishwa sana na uzembe huu wa hali ya juu ambao mpaka sasa unaghalimu maisha ya wakazi wa mbagala na uchumi wa nchi

Now its the time to bring foward those responsible, We need to out president takes strong action on those officials responsible

Mkuu wa majeshi Na wazili wa ulinzi wajiuzuruuuuuu, They fail us.

By the i'm a new member and this is my first post. But i love JF it keeps me up to date on things going on in My beloled country Tanzania
 
Duh hii kweli kali wanajeshi nao wanakimbia nini?mh hii noma wakuu kaeni macho huko mbagala!
 
ITV wamekua wa kwanza kutupa visual news...TBC wanaonyesha tamthilia ya KIFILIPINO!!!
 
Sadly huku Mbagala ndio tunakoishi akina pata sote, uharibifu wa majengo, mali na kupoteza maisha kwa watu ndio itapita hivi hivi hakuna compensation wala nini.

Very sad day......
 
...nipo kwenye Google Earth mida hii, natafuta hiyo kambi ya jeshi ilipo kabla sijatangaza msiba hapa... kuna jamaa zangu wengi tu mitaa ya Mbagala kizuiani, na Rangi tatu.

Mwenye 'data' anijuze...wapi ilipo hiyo kambi.
Kizuiani , Kibondemaji , zakiem na Mbagala kuu ndio sehemu zinazozunguka hiyo kambi
 
ITV wamekua wa kwanza kutupa visual news...TBC wanaonyesha tamthilia ya KIFILIPINO!!!

Umeanza kufitishana biashara za watu....Mbona husemi kama TBC inarusha bunge live wakati ITV iko na BBC. Vyombo makini havikurupuki kutangaza tu.
 
Huu ni uzembe tu wa watu wa chache

Tunataka kuona wanajiuzuru,

Selikali yetu imeshindwa hata hilo jambo dogo la kulinda silaha zake kwa uangalifu.

TANZANIA ITS TIME FOR A CHANGE IN LEADERSHIP
 
BBC wameiweka website yao



BBCNews
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…