Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
PM kuna kitu kinanigonga akilini kuwa hilo unalolisema sio njozi bali ndio ukweli wenyewe. Lakini hata tukiujua ukweli huo tutafanya nini? hayo yatakuwa marudio ya tabia za nchi hii.ndio maana marekani wanasema kuna nchi hazitakiwi kuwa na silaha laki kwa sababu hawana uwezo wa kuzihudumia wala kuzitunza.....nafikiri jeshi letu limejisahau kazi ....wanaonesha uwezo mdogo hata wa kutunza milipuko....je tungekuwa na nuclear au atomic ..si dunia ingeteketea..thats why america hawataki silaha za hatari ziendele kusambaaa....
AU ISIJEKUWA PIA TUMEUZIWA SILAHA ZINAZOKARIBIA EXPIRED DATE BILA KUJUWA ...MAANA NJAA MBAYA SANA!!!
jamani mimi nipo norway, kwetu ni maeneo ya buguruni, nawapigia simu nyumbani hazipatikani, kama kuna maafa nijulisheni.
Sio kwako tu, na kwangu pia. Nikafikiria mimi ndo nimechanganyikiwa, maana hii habari inatisha na kusikitisha. Aibu nyingine ya taifa!Mkuu Invisible mbona kama post zinajirudia rudia kwenye hii thread. What has happened? au ni macho na computer yangu????
Asante sana kwa kutujuza kwenye hili kweli JF ni kiboko wa kwanza kujua.
Bomu li-papa limeshalipuka. Lile kubwa lao?
Ikiwa ni ajali sitokubali kuambiwa kuwa ni kosa la uzembe na hakuwezi kutikea uzembe kwenye ghala la silaha kirahisi, kumbukeni tu kuna mitambo ya Nyuklia kibao inaripuka na mengine inafanya tundu tu na kupenyesha hewa katika mazingira na kuenea ya uraiani .Sio kwako tu, na kwangu pia. Nikafikiria mimi ndo nimechanganyikiwa, maana hii habari inatisha na kusikitisha. Aibu nyingine ya taifa!
Kova anasema kuwa hali inakuwa shwari tofauti na asubuhi na wote walio katikati ya jiji waendelee na shughuli zao. Watu wa Mbagala wameombwa waendelee kufuata maelekezo.
Majeruhi watatibiwa bure, nyumba zilizoharibiwa watafanyiwa utafiti na serikali itasaidia.
Kwenye nyumba ambazo mabomu yamedondokea wameshauriwa kureport polisi wasijaribu kuyashusha toka juu ya nyumba zao.
Pia kuna mabomu mengi yaliyofunguka bila kulipuka na inasemekana watu wameyaokota na kwenda nayo kusikojulikana na uwezekano mkuu ni kuwa yatalipuka baadae.
Mtu asijeenda nalo Kariakoo au kupanda nalo daladala
...sasa wote mkishuka nani atahadithia kilichojiri? bakia hapo hapo ulipo (kama 'RAMBO') !
jamani mimi niko kwenye gorofa mnanishaurije nitoke au nibaki naona wengine wote wametoka