April '09 Bomb Blasts in Dar (Mbagala) and responses

April '09 Bomb Blasts in Dar (Mbagala) and responses

Inasikitisha kwa kweli, poleni sana. Taarifa zimezagaa kwa tulio nje ya DSM kwamba waliokufa wanazidi 100 ila serikali inaficha, jee kuna ukweli wowote katika hilo? Mlio karibu tafadhali tupatieni taarifa za maafa zaidi kwani ndio muhimu kwa sasa.
 
Mimi nililojifunza jana ni kuwa watu wanawezapata madhara kutokana na watu kujifanya kujua. Ilipotokea milipuko mimi nilishuka chini kuangalia kulikoni kwani nipo ghorofa ya nane ktk ya jiji. kufika chini nikakutanan na mtu mwenye hesima zake akidai kuwa yeye ana taarifa sahihi kuwa JWTZ wanafanya mazoezi kwa ajili ya kwenda DARFUR. Akijiamini alisema taarifa hiyo kapewa na kaka yake ambaye ni Brigedia jeshini. Jambo hili siyo kweli labda alitaka tafuta sifa ama aonekane ni well informed. Lakini najua hii yaweza leta madhara siku moja
 
Ni kweli kwamba wananchi ndio waliovamia eneo hilo, lakini ulikuwa wajibu wa mamlaka ya jiji na JWTZ yenyewe kuhakikisha watu hawajengi jirani na kambi lakini kutokana na ufisadi kwenye mamlaka hizo ndio maana maeneo mengi nyeti likiwemo la Airport yalivamiwa na wananchi huku wahusika wakibariki kwa kutoa namba, kuwapelekea miundombinu na kuchukua kodi za majengo.

Hapa Mbeya ipo kambi ya Mbalizi nayo tayari watu wameishaizunguka, na wakati hali hiyo ikiendelea mamlaka husika zinaangali, uwanja wa ndege ndio usiseme, tuna matatizo makubwa ya kiutendaji kwa kweli
 
Tz Iko makini? Kuhifadhi mabomu yaliyo expire? tena karibu na makazi ya watu?
fine labda kambi ilikuwa mbali lakini kutoka na population expansion wamekaribia kambi ya jeshi, sasa kwa nini Jeshi halikuweka deadline ya watu kujenga?? mpaka iwakaribie? kama hio haitoshi baadhi ya mabomu tumeearifiwa yanaenda hadi 40 km sasa si inamaa lingeweza hata kuanguka upanga au lugalo military base na kuamsha mabomu makubwa zaid?
upande wa pili Je idadi ya waliokufa ni 3 tu? kwa nini serekali inadanganya watu? jana tuambiwa wa city centre tu-evacuate we did, but hatkuwa informed leo asubuhi kama mambo ni shwari tulikuja tu mjini mpaka sasa sijui hilo kubwa 1 walilodai ni hatari halijalipuka kama wame dismantle au vipi? we have big problem with communications, je tasmini imefanyika kwenye haya majengo yalioshake ili kujua kama yako salama kwa watumiaji walioko huko?? mambo TZ ni ya kienyeji sana, na sio kwamba tuko makini labda makini kwa kuwa wazembe.
 
Inaonekana sisi tunapiga kelele tu atujuhi undani wa mambo, labda sio hivyo tunavyofikiria, labda lilikuwa ni jaribio la mapinduzi,namaanisha labda wanaume walikuwa wanataka kuvamia ghala la silaha na kupata silaha za kuanzia kazi, na inawezekana Mkwere alishabebwa na watu wake wa usalama na kufichwa kwa usalama wake, maana haiwezekani yeye na makamu wake wawe kimya kabisa bila kuongea chochote hili hali yeye ndio amiri jeshi mkuu, na hao wote waliokuwa wasemaji , naibu waziri wa ulinzi na mnadhimu wa jeshi wapo chini yake,
hapa kuna habari nzito tunafichwa, kuna posibility kuwa kuna watu walikuwa wameshavamia hizo silaha kwa hiyo wale wanajeshi watiifu wakatumia mbinu za kijeshi za kulipua hayo mabomu ili yasiwe chini ya hao jamaa( ni dhana tu wakuu)
 
Huu ni uzembe hadi ndani ya geshi. What do you expect kama wanataka kuforce manunuzi ili wakate tena fedha kiaina je? 2010 inakuja kasi sana. I do not know may be, just may be.
 
Mimi nililojifunza jana ni kuwa watu wanawezapata madhara kutokana na watu kujifanya kujua. Ilipotokea milipuko mimi nilishuka chini kuangalia kulikoni kwani nipo ghorofa ya nane ktk ya jiji. kufika chini nikakutanan na mtu mwenye hesima zake akidai kuwa yeye ana taarifa sahihi kuwa JWTZ wanafanya mazoezi kwa ajili ya kwenda DARFUR. Akijiamini alisema taarifa hiyo kapewa na kaka yake ambaye ni Brigedia jeshini. Jambo hili siyo kweli labda alitaka tafuta sifa ama aonekane ni well informed. Lakini najua hii yaweza leta madhara siku moja
Tukio hili inasemekana lina uhusiano na hiyo mission ya kwenda DARFUR (kuandaa makombora kuyapeleka DARFUR na Shinyanga?). Nadhani huyo ndugu ali-assume tu kwamba milio ya makombora ni majaribio huko jeshini, asijue nini hasa kilikuwa kikitokea.
 
Inaonekana sisi tunapiga kelele tu atujuhi undani wa mambo, labda sio hivyo tunavyofikiria, labda lilikuwa ni jaribio la mapinduzi,namaanisha labda wanaume walikuwa wanataka kuvamia ghala la silaha na kupata silaha za kuanzia kazi, na inawezekana Mkwere alishabebwa na watu wake wa usalama na kufichwa kwa usalama wake, maana haiwezekani yeye na makamu wake wawe kimya kabisa bila kuongea chochote hili hali yeye ndio amiri jeshi mkuu, na hao wote waliokuwa wasemaji , naibu waziri wa ulinzi na mnadhimu wa jeshi wapo chini yake,
hapa kuna habari nzito tunafichwa, kuna posibility kuwa kuna watu walikuwa wameshavamia hizo silaha kwa hiyo wale wanajeshi watiifu wakatumia mbinu za kijeshi za kulipua hayo mabomu ili yasiwe chini ya hao jamaa( ni dhana tu wakuu)

Hayo maneno hayana maana kabisa kwa kuwa kama walitaka kuchukua silaha wakashindwa, suala la milipuko lisingekuwapo. Anzia kwa mtu aliyesema silaha zetu zinaagizwa na nani? ZInatunzwa vipi?
 


Susuviri!

Usinitie majonzi huyu Amiri Jeshi si ni Kanali mstaafu wa JESHI au alipewa zawadi ya ukada kama Luteni Makamba? ( Nimekumbaka walikuwa intake moja kule Monduli pamoja na Jaka Mwambi sijui kama Mkuchika alikuwepo)
Si alitakiwa atembelee hapo kuonyesha ujeshi wake! What is important to him ni kwenda kuuza sura Arusha- Namanga kuzindua ujenzi wa barabara ambayo fedha za ujenzi wake anategemea kutembeza bakuli kwa wadosi!!

It's a big shame hiyo fast truck ya federation ni ya nini kama hakuna barabara ya kwenda Nairobi! East Africans acheni usanii!! look at the ugly face of Kibaki!!! Narudia huwezi kujivunia umahiri wa kuomba hivi Kikwete ana akili kwenye hicho kichwa! M7 naye anawania u first presida wa fed !!Why ngangania kumkumbusha kupewa msaada!! ukimwomba mtu kitu ukiona hakupi au ameminya ujue imekula kwako!!!

Huyo Pinda ingekuwa Oysterbay kwa wakubwa au Upanga kwa mabwana zao bunge lingesimama. Lakini kwa sababu Mbagala wanaishi kapuku it's business as usual!!! The tume syndrome shall wapa wanatume heifty allowances lakini itabaki kuwa siri ya jeshi!

Msipoteze muda kumsikiliza huyo chizi Nchimbi na taahira Lukuvi! Je Lukuvi atadhubutu kutusomea CV yake kwanza he has only a formal education unatarajia nini kwa kada wa umoja wa vijana kama yule!! Amezoea kubebwa tu!!

MKereme, nadhani we ndo umemaliza yote! Sasa leo tunasikia JK anauza sura huko Mbagala na wodini, ya nini? He is 24 hours too late. Au na yeye ndege yake ilishindwa ku-take off kutokana na hali mbaya ya hewa?

Kuhusu bomu kulipuka Oysterbay au Masaki, you are very right, kwani hata zile dharau za Lukuvi kusema eti asilimia kubwa ni mshtuko au mfadhaiko wa akili ilinitia hasira sana. Kwani mfadhaiko wa akili anauonaje? Ni kitu kidogo? Hajui kuwa unaweza kuclaim a lot of damages! Kama namwona akicheka na wenye nchi wenzake - ah! waswahili si unajua ni mayowe na kuchanganyikiwa, hehehe- lakini hajui kwa mtu maskini na ambaye hajui kesho chakula atatoa wapi, kuona mali yake pekee ambacho ni kibanda chake kinaporomoka, na anaona silaha inatua nyumbani ni damage kubwa sana kisaikolojia, lazima awe na hofu kubwa sana. Imenitia uchungu kuona akina mama wakiwa na seizures na kutetemeka mwili mzima kwa hofu! Alafu Lukuvi anawa-dismiss. Shame on him and his buddy JK. Nikasikia pia comment kuwa kuna watu walikanyagana yaani stampede, hicoh ni kitu cha kawaida sana kwani hata disco zinapoungua watu wanakufa katika stampede, lakini hapa wanaona kama kichekesho.

Siwezi kuvumulia another comment kutoka mtu akidai eti JK anastahili kupewa 5 more years!! This was the final straw that broke the camel's back! Kama wabongo mkimchagua kwa kura halali, itabidi wale tusiowapigia kura wasanii hawa tuhame nchi na tuwaachie! Yaani rais wenu na kabinet nzima wamekula pozi mnapopatwa na disaster kubwa alafu mnawarudisha madarakani?! Hii ni aibu sana!

Narudia tena THEY JUST DON'T CARE, so why should Tanzanians care about them? 2010 - enough JK, enough CCM, nasema hata Mchungaji Mtikila anatufaa kuliko hawa ze komedi group!
 
Siwezi kuvumulia another comment kutoka mtu akidai eti JK anastahili kupewa 5 more years!! This was the final straw that broke the camel's back! Kama wabongo mkimchagua kwa kura halali, itabidi wale tusiowapigia kura wasanii hawa tuhame nchi na tuwaachie! Yaani rais wenu na kabinet nzima wamekula pozi mnapopatwa na disaster kubwa alafu mnawarudisha madarakani?! Hii ni aibu sana!

Susuviri, Haya ni mawazo ya kwa na Wana JF waliowengi, lakini watanzania utafikiri tumelogwa tunapiga sana kelele lakini linapokuja swala la kupiga kura wengi wetu huwa hatupigi kura. Na kura nyingi zinapigwa vijijini ambako mpaka sasa hivi wanaamini hii nchi bila ya CCM itakuwa na vita.

Kinachotakiwa ni kuwa na mikakati mizuri kuhakikisha hadi vijijini wanakuwa wanaelewa jinsi nchi yao inavyoendeshwa. JK ame-proove failure nashangaa kuona kuwa watanzania bado wanaimani mambo makubwa kutoka kwake.
 
Hii inawezekana kabisa kuwa ni hujuma ,aidha kama kulikuwa na ukaguzi unataka kufanywa karibuni katika kambi hiyo na silaha zilizopo hazilingani na rekodi ya jeshini kwa maana zimepungua sana ,hivyo suluhisho ni kuchoma utambi ,kitu kimoja kama watunza bohari hiyo ya silaha hakuna hata mmoja aliekutwa na umauti basi hii ni mipango tosha ,fikiria zaidi ili upate hesabu kamili katika ubongo wako , kwa kukuanzia jiulize kama hii ni hujuma mipango ilipangwa vipi nani na nani wanaweza kuwa karibu zaidi kwa maana ya kuhusika ,je wakati kunatokea tukio hilo wahusika wa kambi hiyo walikuwa wapi ? Akiwemo mkuu wa kambi hiyo ?
 
Wakuu mnaonaje hii tukiita THE BLOOD APRIL'...kwa ajili ya kumbukumbu ya vizazi vijavyo
 
Hundreds hurt by Tanzania blast
BBC News Online

The blasts sent shockwaves across Dar es Salaam
More than 300 people, some critically injured, remain in hospital a day after the massive armoury explosion near Dar es Salaam, Tanzania's biggest city.

Officials said the death toll has risen to 11, including six army officers killed at the ammunition dump.

One child drowned jumping into a river in the panic and hundreds more have still not been reunited with parents.

Investigations are under way into the cause of the blast next to the military base on the outskirts of the city.

President Jakaya Kikwete visited the Mbagala ordnance depot on Thursday, a day after the blast which caused mass panic and flashbacks of the deadly 1998 US Embassy bombing in the country's main commercial centre.

Most of the children were running without knowing where they were going

UK medic's first day from hell
Tanzania explosions: Eyewitnesses
Dar es Salaam police commander Suleiman Kova told journalists: "The death toll may be higher since we are still compiling reports and search is going on in collapsed and burnt down buildings," reported AFP news agency.

Criminals took advantage of the mayhem to loot the army barracks and surrounding civilian homes, said the authorities.

The BBC's Vicky Ntetema says more than 1,000 people were injured, a third of whom were admitted in various hospitals with multiple injuries.

She visited two temporary camps set up by the Red Cross on the outskirts of the city to reunite missing children with their parents where nearly 300 youngsters remained unaccounted for this morning.

Our correspondent says many parents are still desperately looking for their children.

Some children fled for more than 15km (nine miles) after they were advised by the police and army to leave Mbagala township for their own safety.

"Most of them were running without knowing where they were going. They were assisted to the camp by some good people and parents are advised to report for missing children," Mr Kova added, reported AFP.

In the immediate aftermath of the explosions, the Tanzanian government ordered the evacuation of high-rise buildings and offices as a precaution.

Shockwaves from no fewer than three explosions lasting at least two hours were felt throughout the city.

The armoury next to the army camp, which lies 14km (nine miles) outside the city centre, is thought to have contained large amounts of mines and artillery shells.

A number of homes in residential areas were destroyed by raining fiery debris.

One person was reportedly killed by shrapnel about 15km from the ammunition dump.

Other army depots have blown up in Africa in recent years.

In March 2007, an explosion on the outskirts of the Mozambican capital, Maputo, killed more than 90 people and more than 400 were injured.

And in January 2002 an ammunition dump in Lagos blew up, sending mortars crashing down on Nigeria's economic capital, and leaving more than 1,000 dead.
 
Je, kutokana na hii Serikali kutosema kweli siku zote inawezekana namba ya vifo ni kubwa kuliko ilitoyotelewa hadharani?
 
naona kama kuna hali ya taharuki kwa serikali hawataweza kuwa na figa sawa kwa muda huu kwa kuwa idadi ya majeruhi inaonyesha wengi, inawachanganya tuwapeni muda wa kopi na situation, wanahabari wawe karibu kutupa kinachoendelea immediately
 
Inasikitisha pia jinsi watu wameona wachukulie maafa haya kama upenyo wa kuwaibia wengine watoto!
Mwanamke mmoja aliweza kuiba watoto wawili - wa kike na wa kiume.Bahati nzuri askari wakamshtukia kwa jinsi watoto walivyokuwa wanalia.Alipohojiwa
akawaachia watoto wale na kukimbia.Sijui kama wazazi wameweza kuwapata watoto wao maana bado hali haijatulia na familia nyingi ziko mashakani kuhusiana na hatma ya watoto wao.
 
KILICHOTOKEA JANA mBAGALA KINAWEZA KIKATOKEA POPOTE PALIPO NA KAMBI ZA JESHI . nI VEMA PLANNERS WETU WA MIJI WAKUBALI UKWELI MJI SI LAZIMA NYUMBA ZIUNGANE KAMA USHANGA. MAENEO HAYO HAYKUTAKIWA KUWA NA MAKAZI JIRANI. TAMAA NDIO INAYOTUPONZA, NENDA MBEZI BEACH KUNAENEO AMBALO JESHI LINALITUMIA KAMA SEEHMU YA KUPIGIA SHABAHA, TAYARI VIWANJA VIMEGAWIWA KULIZUNGUKA. nNI WAZI JESHI HALIWEZI KUHAMISHA KAMBI ZAKE KILA MARA WATU WANAPOENCROACH MAENEO HAYO. TUBADILIKE MAWAZO LA SIVYO MAJANGA HAYA HAYEPUKIKI.
 
Back
Top Bottom