April 20 Yanga atashinda goli 2+

April 20 Yanga atashinda goli 2+

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Tukielekea mechi ya watani 20 apr yanga atashinda kuanzia 2+ FT KUANZIA KOLI 3+

Mechi itakuwa ngumu kipindi cha kwanza cha pili magoli yatakuwa ya kutosha

Wafungaji wa yanga kati ya

Mzize
Mudathir
Aziz.K

Jgwede......
Mwisho nawatakia mechi njema wote mtakaoelekea taifa
 
Tukielekea mechi ya watani 20 apr yanga atashinda kuanzia goli 2+ nk. Mechi itakuwa ngumu kipindi cha kwanza cha pili magoli yatakuwa ya kutosha. Wafungaji wa yanga kati ya
Mzize
Mudathir
Aziz.K
Jgwede......
Mwisho nawatakia mechi njema wote mtakaoelekea taifa
Ukiacha upepo wa kishabiki na ukaangalia kwa undani, mechi hii imeikuta Yanga mahali pabaya. Mbinu rahisi kwa Yanga ni kama waliyoitumia dhidi ya Mamelodi
 
Ukiacha upepo wa kishabiki na ukaangalia kwa undani, mechi hii imeikuta Yanga mahali pabaya. Mbinu rahisi kwa Yanga ni kama waliyoitumia dhidi ya Mamelodi
Tarehe 20 sio mbali
 
Ukiacha upepo wa kishabiki na ukaangalia kwa undani, mechi hii imeikuta Yanga mahali pabaya. Mbinu rahisi kwa Yanga ni kama waliyoitumia dhidi ya Mamelodi
Yanga haina mchezaji tegemeo wa kusema akikosekana timu inapoteana. Yanga kuyumba labda wakosekane key player angalao watatu, so far ambae hana uwezekano wa kucheza tarehe 20 ni Yaoyao tu
 
Tukielekea mechi ya watani 20 apr yanga atashinda kuanzia goli 2+ nk

Mechi itakuwa ngumu kipindi cha kwanza cha pili magoli yatakuwa ya kutosha

Wafungaji wa yanga kati ya

Mzize
Mudathir
Aziz.K

Jgwede......
Mwisho nawatakia mechi njema wote mtakaoelekea taifa
Kusanya hata milioni 3 kamuwekee yanga ana odd 2.44 upate milooni 6 ,kuandika humu haufaidiki na chochote.
 
Naona sentensi mbili zinazojicontradict
Hakuna contradiction yoyote mkuu, sentensi ya kwanza ni umoja yaani hakuna mchezaji mmoja pekee ambae akikosekana yanga itayumba, sentensi ya pili ni uwingi yaani wakosekane kuanzia wachezaji watatu ndio timu inaweza kutikisika kidogo mfano game na mamelod walikosekana key players watatu(Yaoyao, aucho na pacome) ikamlazimu kocha ajilinde zaidi lakini bado mamelod alipewa misukomisuko bila mbeleko uenda yanga angekuwepo semi finals. Naamini aucho na pacome wangekuwepo pale kati uenda Gamondi angecheza ile ile aggressive football yake ya siku zote
 
Tukielekea mechi ya watani 20 apr yanga atashinda kuanzia 2+ FT KUANZIA KOLI 3+

Mechi itakuwa ngumu kipindi cha kwanza cha pili magoli yatakuwa ya kutosha

Wafungaji wa yanga kati ya

Mzize
Mudathir
Aziz.K

Jgwede......
Mwisho nawatakia mechi njema wote mtakaoelekea taifa
AZIZ K AMESHINDA???
 
MpeNDANE MKIWA HAI GWEDEEEEEEE HHUYYOOOOOOO
 
Kusanya hata milioni 3 kamuwekee yanga ana odd 2.44 upate milooni 6 ,kuandika humu haufaidiki na chochote.
Hahaha haha uanajichrkesha mwenyeewe
 
Back
Top Bottom