Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Tukielekea mechi ya watani 20 apr yanga atashinda kuanzia 2+ FT KUANZIA KOLI 3+
Mechi itakuwa ngumu kipindi cha kwanza cha pili magoli yatakuwa ya kutosha
Wafungaji wa yanga kati ya
Mzize
Mudathir
Aziz.K
Jgwede......
Mwisho nawatakia mechi njema wote mtakaoelekea taifa
Mechi itakuwa ngumu kipindi cha kwanza cha pili magoli yatakuwa ya kutosha
Wafungaji wa yanga kati ya
Mzize
Mudathir
Aziz.K
Jgwede......
Mwisho nawatakia mechi njema wote mtakaoelekea taifa