Elections 2015 Apson awatumia kina Bashe kuwachafua Membe na Jack Gotham

Elections 2015 Apson awatumia kina Bashe kuwachafua Membe na Jack Gotham

Nimeliona andiko la kumchafua Waziri Membe na Jack Gotham ESCROW: Bernard Membe anapofanya juhudi za kuiangusha serikali yake, lakini nataka niwahakikishie tu kwamba halina chembe ya ukweli hata kidogo.

1.Ni kweli Jack Gotham yupo Dodoma na tumekuja pamoja kwenye msiba wa baba yake mdogo marehemu mzee Adolf, tumeingia Dodoma Alhamis usiku saa 6 na tukapitiliza msibani tukakaa mpaka saa 8 usiku ndipo tuliporudi hotelini kujipumzisha.

Jana Ijumaa asubuhi na mapema tumedamka kwenye maandalizi ya asubuhi pamoja na matayarisho ya Ibada ambayo ilituchukua muda mpaka saa 11 jioni ndipo tulipoelekea makaburini kupumzisha mzee Adolf na kutoka makaburi ya eneo la Kikuyu mnamo saa 1 kasoro.

Saa 2 tulikuwa Dodoma Carnival kwa ajili ya chakula tukiwa watu zaidi ya 10 tuliotoka msibani pasipokuwepo na mwanasiasa yoyote katika jumuiko letu.Tumetoka huko saa 5 usiku na kurudi mahotelini.

Najiuliza ni muda gani matukio yote hayo yaliyotajwa yametokea kwa aina hiyo ya shughuli tangu juzi?Ni fabricated story yenye lengo mahsusi ya kutaka kuharibu mahusiano ya muda mrefu ya watu.

Ukweli uliopo ni kwamba yanayozungumzwa ni siasa chafu za kundi la Lowassa linaloongozwa na Apson Mwang'onda aliyekuwa Dg wa Tiss miaka ya nyuma.Hii ni baada ya kugundua kwamba sakata la Escrow litawageukia maana limegusa baadhi ya watu wao kama vile Andrew Chenge.

Pia jiulizeni je wanaoshabikia Escrow isomwe bungeni ni wapambe wa nani?Kangi Lugora,Deo Haule Filikunjombe na Peter Serukamba wanajulikana wazi ni watu wa Lowassa na sio Membe.Wanakosa hoja wanabaki kutengeneza hekaya za kumchafua Membe na Jack Gotham.

Apson Mwang'onda anapaswa aache kuwatumia kina Bashe kufanya na kueneza ujinga huu maana ataumbuka.Asifikiri anamharibia Membe au Jack zaidi wanajiharibia wao na mtu wao.Asitake tuongee ambayo yamebaki kuwa siri kwa nia ya kuepuka mivurugano ndani ya chama na serikali.

Akizidi kujilea katika umri wa ujinga wa uzeeni tutamlipua kabla hata hawajafikiria kumwambia mgombea wao aghairishe kuchukua fomu.

Mkuu hili andiko lako lengo lake kubwa nafkiri unataka kutujuza kuwa wewe ni kijana wa Gotham, tumekusikia basi nenda ule posho kwake tena
 
Wewe huna akili kabisa na kama Membe anawategemea watu bogus kama wewe nampa pole sana.

Njaa mbaya sana, Membe huyu aliyepata Unec kwa msaada wa Salma Kikwete na na mtoto wa Mfalme leo anawaza Urais? Poleni sana, naona tangu Kikwete awe Rais kila mpumbavu yeyote anadhani anaweza kuwa Rais, wakati mnajiandaa kumlipuwa Lowasa andaeni na maelezo ya pesa za Gadaffi Membe amezipeleka wapi?

Cc: Pasco
Mimi nilimtembelea mwanzisha mada, nikamkuta ame posti humu mara 13, kati ya hizo posts 13, 9 ni threads alizozianzisha na zote zina mwelekeo ule ule.

  1. [h=3]Pasco[/h]




 
Mzee Apson naye hanaakili anazeeka kijinga sana lakini watakapokosa urais ndiyo watakapojikojolea wanadhani hatuoni ujinga wanaofanya.

Kati yako na Apson nani ana akili? Au unacomment ili ufuraishe watu humu mkuu....Angalia chezea hii nchi utakaavyo ila likifikia swala la haao watu wa TISS nakushauri ukae kimya, kuliko kutukana watu bora uendelee na your personal life chief
 
Nimeshangaa sana hiyo propaganda nyepesi dhidi ya Membe kwenye sakata hili
Ayaya!! Ben saanane ni wewe ama nimeangalia vibaya? nini kinakushangaza membe kuhusishwa? Duu!! usitake niamini nilikuwa sitaki kuyaamini kuwa wewe ni kibaraka wa membe. I dont wanna believe it!
 
Last edited by a moderator:
Nimeliona andiko la kumchafua Waziri Membe na Jack Gotham ESCROW: Bernard Membe anapofanya juhudi za kuiangusha serikali yake, lakini nataka niwahakikishie tu kwamba halina chembe ya ukweli hata kidogo.

1.Ni kweli Jack Gotham yupo Dodoma na tumekuja pamoja kwenye msiba wa baba yake mdogo marehemu mzee Adolf, tumeingia Dodoma Alhamis usiku saa 6 na tukapitiliza msibani tukakaa mpaka saa 8 usiku ndipo tuliporudi hotelini kujipumzisha.
Mkuu Alan,

Kwanza poleni kwa msiba!, kumbe uko na Jack?!, mwambie anasalimiwa na Pasco wa Jf!.

Na wewe, hongera sana kwa kazi kubwa na nzuri inayufanya humu jf!, tangu umejinga humu Tarehe 5 September, 2014, umeisha tuanzishia post humu mara 13, na kati ya hizo, mara tisa ni kutuanzishia threads mpya, ambazo ukisha post, huchangii chochote!, kwa kweli unafanya kazi kubwa sana na nzuri!.

Kwa ambao walikuwa hawakufahamu, ngoja nisaidie kukutambulisha kupitia baadhi ya threads zako!.

Apson awatumia kina Bashe kuwachafua Membe na Jack Gotham-Started by Allan Halid Kiluvia, Today 11:25

Makonda aupinga utafiti wa Twaweza-Started by Allan Halid Kiluvia,

Lowassa atupe jina la Mgombea Mwenza-Started by Allan Halid Kiluvia,

Makonda hakutumwa na Membe-Started by Allan Halid Kiluvia,

Membe awashukuru wote waliomtakia siku njema ya kuzaliwa kwake-Started by Allan Halid Kiluvia,

Membe akitwaa urais, taifa halitayumba-Started by Allan Halid Kiluvia,

Lowassa anaidharau kamati ya Mangula-Started by Allan Halid Kiluvia,

Lowassa ashauriwa asigombee urais-Started by Allan Halid Kiluvia

Diallo apangua hoja za kambi ya Lowassa-Started by Allan Halid Kiluvia


Kuja kufika 2015, kuna watu humu waki consolidate posts, wataandika vitabu!,

Pasco
 
Mimi nilimtembelea mwanzisha mada, nikamkuta ame posti humu mara 13, kati ya hizo posts 13, 9 ni threads alizozianzisha na zote zina mwelekeo ule ule.

  1. [h=3]Pasco[/h]




Mpuuzi tu huyo kwanza hata kuandika hajui.

Hamna mtu mwenye akili timamu ambaye anaweza kuamini Membe anaweza kushindana na Lowasa ndani ya Ccm.

Leo umlipuwe Lowasa kwa lipi? Kuna zaidi ya Richmnd? Mbona tangu ameachia uwaziri mkuu nguvu zake zimeongezeka ndani ya Ccm?

Ushauri wa bure asiyemtaka Lowasa Ccm the only way to stop him wamkodi Sniper tu, otherwise ndani ya Ccm hakuna kinyamkela chochote cha kusimama na Laigwan.
 
Nimeliona andiko la kumchafua Waziri Membe na Jack Gotham ESCROW: Bernard Membe anapofanya juhudi za kuiangusha serikali yake, lakini nataka niwahakikishie tu kwamba halina chembe ya ukweli hata kidogo.

1.Ni kweli Jack Gotham yupo Dodoma na tumekuja pamoja kwenye msiba wa baba yake mdogo marehemu mzee Adolf, tumeingia Dodoma Alhamis usiku saa 6 na tukapitiliza msibani tukakaa mpaka saa 8 usiku ndipo tuliporudi hotelini kujipumzisha.

Jana Ijumaa asubuhi na mapema tumedamka kwenye maandalizi ya asubuhi pamoja na matayarisho ya Ibada ambayo ilituchukua muda mpaka saa 11 jioni ndipo tulipoelekea makaburini kupumzisha mzee Adolf na kutoka makaburi ya eneo la Kikuyu mnamo saa 1 kasoro.

Saa 2 tulikuwa Dodoma Carnival kwa ajili ya chakula tukiwa watu zaidi ya 10 tuliotoka msibani pasipokuwepo na mwanasiasa yoyote katika jumuiko letu.Tumetoka huko saa 5 usiku na kurudi mahotelini.

Najiuliza ni muda gani matukio yote hayo yaliyotajwa yametokea kwa aina hiyo ya shughuli tangu juzi?Ni fabricated story yenye lengo mahsusi ya kutaka kuharibu mahusiano ya muda mrefu ya watu.

Ukweli uliopo ni kwamba yanayozungumzwa ni siasa chafu za kundi la Lowassa linaloongozwa na Apson Mwang'onda aliyekuwa Dg wa Tiss miaka ya nyuma.Hii ni baada ya kugundua kwamba sakata la Escrow litawageukia maana limegusa baadhi ya watu wao kama vile Andrew Chenge.

Pia jiulizeni je wanaoshabikia Escrow isomwe bungeni ni wapambe wa nani?Kangi Lugora,Deo Haule Filikunjombe na Peter Serukamba wanajulikana wazi ni watu wa Lowassa na sio Membe.Wanakosa hoja wanabaki kutengeneza hekaya za kumchafua Membe na Jack Gotham.

Apson Mwang'onda anapaswa aache kuwatumia kina Bashe kufanya na kueneza ujinga huu maana ataumbuka.Asifikiri anamharibia Membe au Jack zaidi wanajiharibia wao na mtu wao.Asitake tuongee ambayo yamebaki kuwa siri kwa nia ya kuepuka mivurugano ndani ya chama na serikali.

Akizidi kujilea katika umri wa ujinga wa uzeeni tutamlipua kabla hata hawajafikiria kumwambia mgombea wao aghairishe kuchukua fomu.


HATA HIVYO MTURUDISHIE HELA ZETU ZA ESCROW….Hizo bla bla za siasa maji taka hazina mashiko
 
Nimeliona andiko la kumchafua Waziri Membe na Jack Gotham ESCROW: Bernard Membe anapofanya juhudi za kuiangusha serikali yake, lakini nataka niwahakikishie tu kwamba halina chembe ya ukweli hata kidogo.

1.Ni kweli Jack Gotham yupo Dodoma na tumekuja pamoja kwenye msiba wa baba yake mdogo marehemu mzee Adolf, tumeingia Dodoma Alhamis usiku saa 6 na tukapitiliza msibani tukakaa mpaka saa 8 usiku ndipo tuliporudi hotelini kujipumzisha.

Jana Ijumaa asubuhi na mapema tumedamka kwenye maandalizi ya asubuhi pamoja na matayarisho ya Ibada ambayo ilituchukua muda mpaka saa 11 jioni ndipo tulipoelekea makaburini kupumzisha mzee Adolf na kutoka makaburi ya eneo la Kikuyu mnamo saa 1 kasoro.

Saa 2 tulikuwa Dodoma Carnival kwa ajili ya chakula tukiwa watu zaidi ya 10 tuliotoka msibani pasipokuwepo na mwanasiasa yoyote katika jumuiko letu.Tumetoka huko saa 5 usiku na kurudi mahotelini.

Najiuliza ni muda gani matukio yote hayo yaliyotajwa yametokea kwa aina hiyo ya shughuli tangu juzi?Ni fabricated story yenye lengo mahsusi ya kutaka kuharibu mahusiano ya muda mrefu ya watu.

Ukweli uliopo ni kwamba yanayozungumzwa ni siasa chafu za kundi la Lowassa linaloongozwa na Apson Mwang'onda aliyekuwa Dg wa Tiss miaka ya nyuma.Hii ni baada ya kugundua kwamba sakata la Escrow litawageukia maana limegusa baadhi ya watu wao kama vile Andrew Chenge.

Pia jiulizeni je wanaoshabikia Escrow isomwe bungeni ni wapambe wa nani?Kangi Lugora,Deo Haule Filikunjombe na Peter Serukamba wanajulikana wazi ni watu wa Lowassa na sio Membe.Wanakosa hoja wanabaki kutengeneza hekaya za kumchafua Membe na Jack Gotham.

Apson Mwang'onda anapaswa aache kuwatumia kina Bashe kufanya na kueneza ujinga huu maana ataumbuka.Asifikiri anamharibia Membe au Jack zaidi wanajiharibia wao na mtu wao.Asitake tuongee ambayo yamebaki kuwa siri kwa nia ya kuepuka mivurugano ndani ya chama na serikali.

Akizidi kujilea katika umri wa ujinga wa uzeeni tutamlipua kabla hata hawajafikiria kumwambia mgombea wao aghairishe kuchukua fomu.

kama unayo ya kusema sema kama huna nyamaza,sasa kama unasubiri muda wa kuchukua form kuna haja gan ya kuja hapa sasa,nyie wapambe wa wanasiasa mnashida sana maana mnaish kwa ahsante za wanasiasa
 
Nimeliona andiko la kumchafua Waziri Membe na Jack Gotham ESCROW: Bernard Membe anapofanya juhudi za kuiangusha serikali yake, lakini nataka niwahakikishie tu kwamba halina chembe ya ukweli hata kidogo.

1.Ni kweli Jack Gotham yupo Dodoma na tumekuja pamoja kwenye msiba wa baba yake mdogo marehemu mzee Adolf, tumeingia Dodoma Alhamis usiku saa 6 na tukapitiliza msibani tukakaa mpaka saa 8 usiku ndipo tuliporudi hotelini kujipumzisha.

Jana Ijumaa asubuhi na mapema tumedamka kwenye maandalizi ya asubuhi pamoja na matayarisho ya Ibada ambayo ilituchukua muda mpaka saa 11 jioni ndipo tulipoelekea makaburini kupumzisha mzee Adolf na kutoka makaburi ya eneo la Kikuyu mnamo saa 1 kasoro.

Saa 2 tulikuwa Dodoma Carnival kwa ajili ya chakula tukiwa watu zaidi ya 10 tuliotoka msibani pasipokuwepo na mwanasiasa yoyote katika jumuiko letu.Tumetoka huko saa 5 usiku na kurudi mahotelini.

Najiuliza ni muda gani matukio yote hayo yaliyotajwa yametokea kwa aina hiyo ya shughuli tangu juzi?Ni fabricated story yenye lengo mahsusi ya kutaka kuharibu mahusiano ya muda mrefu ya watu.

Ukweli uliopo ni kwamba yanayozungumzwa ni siasa chafu za kundi la Lowassa linaloongozwa na Apson Mwang'onda aliyekuwa Dg wa Tiss miaka ya nyuma.Hii ni baada ya kugundua kwamba sakata la Escrow litawageukia maana limegusa baadhi ya watu wao kama vile Andrew Chenge.

Pia jiulizeni je wanaoshabikia Escrow isomwe bungeni ni wapambe wa nani?Kangi Lugora,Deo Haule Filikunjombe na Peter Serukamba wanajulikana wazi ni watu wa Lowassa na sio Membe.Wanakosa hoja wanabaki kutengeneza hekaya za kumchafua Membe na Jack Gotham.

Apson Mwang'onda anapaswa aache kuwatumia kina Bashe kufanya na kueneza ujinga huu maana ataumbuka.Asifikiri anamharibia Membe au Jack zaidi wanajiharibia wao na mtu wao.Asitake tuongee ambayo yamebaki kuwa siri kwa nia ya kuepuka mivurugano ndani ya chama na serikali.

Akizidi kujilea katika umri wa ujinga wa uzeeni tutamlipua kabla hata hawajafikiria kumwambia mgombea wao aghairishe kuchukua fomu.

watu wanaojipendekeza kwa politicians wanaish kwa shida sana nchi hii
 
Mkuu mbona umejing'atang'ata sana? Au wewe ndiye unayetumika.
Wananchi wa Tanzania wanataka hela zao zirudi. Nafikiri huu ni wakati wakuungana na siyo siasa. Wananchi tunataka report isomwe. Lugola, Filikunjombe na Selukamba wanawakilisha wananchi wengi kwa hili swala la Escrow, Likiisha tunaweza endelea na siasa ya maji tata unazotaka kuzileta hapa.

Wewe ndio umetumwaa sasa
 
Kati yako na Apson nani ana akili? Au unacomment ili ufuraishe watu humu mkuu....Angalia chezea hii nchi utakaavyo ila likifikia swala la haao watu wa TISS nakushauri ukae kimya, kuliko kutukana watu bora uendelee na your personal life chief

Mkuu ni kishua sema toka MWAKA juzi kua Ben wa saanane ni kibaraka wa Membe. Na Yericko Nyerere huwa anataka kujiunga mitandao wa lowasa ingawa bado hajafanikisha
 
Last edited by a moderator:
Nimeshangaa sana hiyo propaganda nyepesi dhidi ya Membe kwenye sakata hili

Na utaendelea kushangaa sna kwasabu hutaki kuamini kuwa boss wako membe ameyafnya hayo,we ndio membe alikuwa akikutumia kupata sir za chadema anakulipa?haiwez acha kukuuma kwasab umelengwa penyewe
 
Back
Top Bottom