kinyesi.
Wewe huna akili kabisa na kama Membe anawategemea watu bogus kama wewe nampa pole sana.
Ulianza vizuri kueleza dhumuni la safari yenu Dodoma ni msiba ulipaswa ujikite hapo lakini badala yake na wewe umejiingiza kwenye siasa uchwara.
Hivi jitu kubwa zima na akili zako unaota ndoto za mchana kwamba Membe anaweza kumshinda Lowasa kutoa rushwa Ccm ili ateuliwe kuwa mgombea wa chama cha wezi na mafisadi?
Njaa mbaya sana, Membe huyu aliyepata Unec kwa msaada wa Salma Kikwete na na mtoto wa Mfalme leo anawaza Urais? Poleni sana, naona tangu Kikwete awe Rais kila mpumbavu yeyote anadhani anaweza kuwa Rais, wakati mnajiandaa kumlipuwa Lowasa andaeni na maelezo ya pesa za Gadaffi Membe amezipeleka wapi?
Cc: Pasco