Elections 2015 Apson Mwang'onda afanya vikao vya kuchangisha fedha Oysterbay ili Lowasa ahamie CHADEMA

Elections 2015 Apson Mwang'onda afanya vikao vya kuchangisha fedha Oysterbay ili Lowasa ahamie CHADEMA

Kwa tetesi anazomwaga huyu Lizaboni humu ndani,wengekuwa walishamdaka siku nyingi.

Binafsi naelekea kujiaminisha kuwa huyu Lizaboni ni taasisi, wanajua wanachokifanya.!

Na huu ni mpambano wa Tiss waliostaafu na walio kwenye system.
 
Last edited by a moderator:
Kwa tetesi anazomwaga huyu Lizaboni humu ndani,wengekuwa walishamdaka siku nyingi.

Binafsi naelekea kujiaminisha kuwa huyu Lizaboni ni taasisi, wanajua wanachokifanya.!
Hapana Mkuu. Mie nipo huku Lizaboni Songea mtaa wa Kibulang'oma nyuma ya TANESCO. Shughuli zangu nafanyia hapa Soko Kuu Songea. Ulizia kwa jina la Lizaboni utanipata. Najishughulisha na uuzaji wa vifaa vya electronic
 
Lakini makundi yameshaisha na kubakia CCM tu au MKT kaongopa?
Ni kweli makundi yameisha. Ila kuna huyu Lowasa bado anaonekana kuwa na mipano ovu nje ya CCM. Watanzania tuamke
 
Lizabon unajua ukiwa unaandika vitu humu ndani make sure it real n u have evidence of that.. usije ukalalamika wakikuweka kwenye kumi na 18.. ebu elezea ufisadi wa unaye mtaja kila siku.. ebu kuwa reasonable... tuache uzushi na mambo Kama una la kuongea keep silent
 
Lizabon mwache uyu mzee apumzike sasa imetosha
Akiamua kupumzika nitamuacha. Ila akiendelea na unafiki wake hakika nitaendelea kumuumbua mpaka aombe poo
 
Lizabon unajua ukiwa unaandika vitu humu ndani make sure it real n u have evidence of that.. usije ukalalamika wakikuweka kwenye kumi na 18.. ebu elezea ufisadi wa unaye mtaja kila siku.. ebu kuwa reasonable... tuache uzushi na mambo Kama una la kuongea keep silent
Mkuu, kama wewe unaona kuwa huu ni uzushi, kuna wengine wapo serious wanafanyia kazi. Endelea kuamini kuwa huu ni uzushi
 
mkuu Lizaboni ur cls the line mkuu invisble who was introduced 2 the mix hupo humu humu jf code 4513
 
Mengi na Manji wako kambi moja?, hapo ndipo ulipokosea kutunga hadithi yako
 
mkuu Lizaboni ur cls the line mkuu invisble who was introduced 2 the mix hupo humu humu jf code 4513
Hahahahahaaaaaaa! Pole sana Mkuu. Hakuna anayetishwa na hizo ngonjera zako
 
Mengi na Manji wako kambi moja?, hapo ndipo ulipokosea kutunga hadithi yako
Wote ni wafadhili wa Lowasa. Kuhusu kambi hilo sijui. Kumbuka hata Mengi alikuwa na mgogoro na Rostam ila kwa sasa wapi pamoja kwa sababu ya Lowasa
 
Hapana Mkuu. Mie nipo huku Lizaboni Songea mtaa wa Kibulang'oma nyuma ya TANESCO. Shughuli zangu nafanyia hapa Soko Kuu Songea. Ulizia kwa jina la Lizaboni utanipata. Najishughulisha na uuzaji wa vifaa vya electronic
Haya mkuu umekumbusha mitaa yangu, ruhuwiko,matalawe,mfaranyaki, manzese,majengo na kule ng'ambo kwa wayao bila kusahau mitaa Buhemba.
 
Hahahahahaaaaaaa! Pole sana Mkuu. Hakuna anayetishwa na hizo ngonjera zako

sawa bt mm nimekwambia tu mkuu ucdhan mod wa jf watakuwapo huko au unataka mpaka wakutajie ip yako? mkuu
 
Back
Top Bottom