Elections 2015 Apson Mwang'onda afanya vikao vya kuchangisha fedha Oysterbay ili Lowasa ahamie CHADEMA

Elections 2015 Apson Mwang'onda afanya vikao vya kuchangisha fedha Oysterbay ili Lowasa ahamie CHADEMA

Wewe mgoni jeuri sana MWABEPANDE ni sehemu maarufu kwa kung'oa kucha na meno..muulize Dk.ulimboka na Kibanda
Alaaaa kumbeeee! Kwa hiyo watanimamata huku Songea wanipeleke huko Mabwepande? Kwani huku Songea hakuna misitu?
 
lowasa kuhama ccm ni sawa na samaki kuhamia nchi kavu
 
Nimekudharau sana Lizaboni kwa kuihusisha CHADEMA na Mwivi Lowasa


Bramo;
Nashukuru kwa neno lako kwa huyu kichaa Lizaboni. Kumdharau tu hakutoshi ila naongezea kuwa aweza kuwa juha katika majuha. Bila kukitaja CDM hawezi kulala. CDM ilikuwako kwenye vikao vyenu?? Upuuzi mwingine hata sijui mnauota lini.
 
Kwa tetesi anazomwaga huyu Lizaboni humu ndani,wengekuwa walishamdaka siku nyingi.

Binafsi naelekea kujiaminisha kuwa huyu Lizaboni ni taasisi, wanajua wanachokifanya.!

Na huu ni mambano wa Tiss waliostaafu na walio kwenye system.

I won't underestimate this guy no more.. Huyu ni puppet. Ukifuatilia habari zake zote alizoleta humu ni za kweli.. Huyu jamaa ili kupoteza watu maboya anajifanya yupo Songea..

Mwanzoni alikuwa anamsupport Membe, ghafla akahama akaanza kumnadi Magufuli just from no where. Na kweli yametimia
 
Last edited by a moderator:
CCM ni kama nyani ambaye anamcheka mwenzake kwa kuwa na uso mbaya, wote n wachafu
 
jamani ktk siasa hakuna rafiki wala adui wa kudumu, lowasa akija ukawa kwani pana shida gan, mbona wenyevt wa vjiji waliokuwa wanaenguliwa ccm tuliwachukua na tulishinda sana? hii nchi n yetu sote
 
Ili Chadema waingie ikulu basi lazima wapate sapoti ya Lowasa au Lowasa awe Mgombea Uraisi
 
I won't underestimate this guy no more.. Huyu ni puppet. Ukifuatilia habari zake zote alizoleta humu ni za kweli.. Huyu jamaa ili kupoteza watu maboya anajifanya yupo Songea..

Mwanzoni alikuwa anamsupport Membe, ghafla akahama akaanza kumnadi Magufuli just from no where. Na kweli yametimia
Mkuu bora na wewe umelitambua hilo, huyu Lizaboni ni mtandao unaojua unachokifanya.

Humu JF wameweka ni sehemu ya kuwahabarisha team Lowasa kuwa wanajua wanachokifanya kwa uchache tu , na sitashangaa kuwa huyu Lizaboni ni team Lowasa ila ya kwa kazi maalumu.

Lazima tujue lowassa anapambana Amiri jeshi mkuu ,kwa maana ya vyombo vyote vya Usalama ....!
 
Last edited by a moderator:
Mkuu bora na wewe umelitambua hilo, huyu Lizaboni ni mtandao unaojua unachokifanya.

Humu JF wameweka ni sehemu ya kuwahabarisha team Lowasa kuwa wanajua wanachokifanya kwa uchache tu , na sitashangaa kuwa huyu Lizaboni ni team Lowasa ila ya kwa kazi maalumu.

Lazima tujue lowassa anapambana Amiri jeshi mkuu ,kwa maana ya vyombo vyote vya Usalama ....!

Kuna watu humu wana akili nzito sana humu.. Ukimsoma huyu jamaa thread zake zote tangia anaanza kupambana na EL utaona alikuwa anaongea anachokijua kiundani na kilitokea kama alivyokuwa anazungumza..

Kuna mijitu ina akili za kushikiwa humu.. Eti CDM hawawezi kupokea fedha za fisadi angali huyo Mwenyekiti wetu na ZZK walipokea pesa ya Mkono aachiwe jimbo..
 
Last edited by a moderator:
Whoever remember the list of shame which Dr. Slaa read to the journalists ten years ago, names of Lowasa, Rutabanzibwa, Kikwete etc were enlisted. Chadema isn't as cheap as CCM to succumb to fisadis. Lowasa could conditionally be welcomed there only if he wants to maintain his constituency and not to run for presidency - that post is already filled
 
Jamani tusimu underestimate Lizaboni.. Mara zote alikuwa analeta habari ambazo baadae tulikuja kuziprove ni za kweli.. Siku zote alikuwa anasema Magufuli ndio atapeperusha bendera na kweli imekuwa..

Don't underestimate this guy.. Hayuko Songea kama mnavyodhani, yawezekana ni puppet wa kampuni nyeti
Kwikwikwikwiiiiiiii. Haya bana. Hayo ya kampuni siyajui. Ila ukweli huwa naleta taarifa za kweli. Sijui kupika majungu
 
Kwa vile Lowasa ameshindwa sasa Apson hana uhuru wa kuendelea na maisha yake binafsi!!?? Tuwekee ushahidi kuwa alikuwa hapo kuomba pesa!!!

Kwani anaonana na hao jamaa kwa maslahi ya nani? Huyo jamaa hajaacha ile kazi
 
Back
Top Bottom