Elections 2015 Apson Mwang'onda afanya vikao vya kuchangisha fedha Oysterbay ili Lowasa ahamie CHADEMA

Elections 2015 Apson Mwang'onda afanya vikao vya kuchangisha fedha Oysterbay ili Lowasa ahamie CHADEMA

Ati jamaa kayitafutia na kapicha ka mwaka juzi katuwekea . Ha ha ha
 
Wote ni wafadhili wa Lowasa. Kuhusu kambi hilo sijui. Kumbuka hata Mengi alikuwa na mgogoro na Rostam ila kwa sasa wapi pamoja kwa sababu ya Lowasa
kwenye hili upo sahihi wafanyabiashara
wapo kimaslahi tu
 
Nazidi kumkubali lowassa..hamia ukawa baba tutakupigia kura!
 
Mmmm nilijua tu lazima udownload.........embu tafuteni habari za Mungu kuliko za siasa mpate rehema za Mungu na baraka zake
 
mwang'onda ndo huyo babu wa miwani au? mana ni maarufu sana ila simfahamu hata kwa picha.
 
Lowassa ndie rais .. kila mtu anajua hivyo...

Naona Ma CCM mnaanza kuhaha, mtakoma... nyie mlimkata, sasa yeye anawakata kata vipande vipande...
 
Manji na Machache meza moja teh teh ...... Lizabon bwana

Hapo ndo amechemka kwenye hadithi yake,
Tunajua ukweli ni riz1 + manji+ membe= ubunge wa kigamboni aliohidiwa manji endapo membe angepita.

Hivi mkuu wa wilaya badala ya kufanya majukumu ya ofisi anapata wapi muda wa kufanya huu utunzi na kumuinbox lizaboni asambaze?
 
Back
Top Bottom