kwani magufuli siyo fisadi? zile billioni 262 zilikwenda wapi, mbona magufuli hjajibu mpaka leo?
Jifunze kufuatilia vitu, hizo Billion 262 CAG aliishasema zipo wapi, na alimalizia kwa kuisifu sana Wizara kwa kazi nzuri na matumiz mazuri ya hiyo Billion 262, msikilize CAG
https://www.youtube.com/watch?v=9SOTVAOSyIE