Sikonge
JF-Expert Member
- Jan 19, 2008
- 11,584
- 6,136
Huwa sipendi habari zako nyingi. Ila hii hata mimi nakusifu maana huyu jamaa ni maarufu sana ila ni leo nimemuona.
Nimejaribu kumgoogle mara kibao, anatokea mtoto wake tu. Hongera kwa hii piha ambayo nafikiri hakutegemea.
Kuwa tu mwangalifu asije akakuona na Mafia ya CCM wakakutangaza kama WANTED ONLY DEAD.
Nimejaribu kumgoogle mara kibao, anatokea mtoto wake tu. Hongera kwa hii piha ambayo nafikiri hakutegemea.
Kuwa tu mwangalifu asije akakuona na Mafia ya CCM wakakutangaza kama WANTED ONLY DEAD.
Huyo huyo! Nipe tano