GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Baby girl Aquiline umekufa lakini kifo chako ni moja ya sababu za maandamano ya 26/4. Hii haijawahi jutokea.
RIP Aquiline
Naona unaendelea tu ' Kuwaponza ' Wenzako ili ' Wakafe ' vizuri hiyo siku Mkuu. Ni matumaini yangu makubwa kwamba utakuwa unaenda kuwatembelea Mwaisela na Kibasila mara kwa mara na pia kusaidia Kuitambua miili yao katika ' Mochwari ' mbalimbali za nchini.