Arab contractor wanakabidhi bwawa la umeme, watu elfu 11 wameshiriki kulijenga, ndio Mradi Mkubwa wa kiuhandisi kuwahi kutokea Tanzania


mkuu hesabu hazifanyikagi kwa urahisi kama ulivyofanya. ndio maana wanaofaulu hisabati ni wachache

hao watu elfu 11 hawakufanya kazi wote sawa sawa kwa pamoja, hivyo sio sahihi kugawanya moja kwa moja kama ulivyofanya.

kwenye hesabu kuna stages ndio maana mtoto wa form one afundishwi intergration,,

engineering inafanywa kwa hesabu zake yaani engineering mathematics. na ili uelewe engineering mathematics lazima kwanza uwe umeshajua Advanced mathematics.
 
Mmeamua kujadili masaa badala ya mradi!!
 
Huyu chat sio wa kumuamini kwa kila kitu mkuu
Ni hesabu tu mbona kwa calculator yako?
Ukiuliza kila kitu na akili itadumaa aisee
Hapana yuko vizuri kimahesabu halafu siwezi kudumaa akili kwa kumuuliza yeye bali napanua zaidi akil yangu
 
Ni kweli aisee. Hesabu sio rahisi, kwa hiyo hazina namna rahisi ya kuzieleza ili wasiojua hesabu waelewe.

Mwaka 2006 wakati wa mgomo pale Njombe Secondary kuna mwalimu mmoja mgeni alipigwa mabanzi na wanafunzi wa PGM, PCM na PCB kisa tu anafundisha Physics. Jamaa wakasema inakuaje unafundisha somo gumu, ambalo tunafeli daily, wakampiga makofi.

Na mwaka huohuo, Dk. K wa mapacha akafanya verse kwenye ngoma moja, akisema ana sura ngumu mithili ya somo la physics.
 
Sina kumbukumbu vzr Ila nakumbuka N.Wazir dotto biteko kama alifungua baadhi ya mitambo lakini sio ya bwawa zima na ndomana hata thread hii imeanza kw mwandish kusema soon bwawa lotakabidhiwa Rasmi. Au sijaelewa sehem?
Kwani ndugu, kukabidhiwa ina maana kuwa ndio linaanza kazi rasmi!!???
 
Umeme wa maji siyo wa kutegemewa mda si mrefu tutaona mgao Kwa kisingizio cha kina cha maji kimepungua,
 
Kama nchi haikutumii wewe ndugu Ndalilo , tunapata hasara sana.
Ubarikiwe.
 
Kuna binadamu anaweza kufanya kazi 24hrs kwa siku 250+?
 
Likiwa full capacity ndiyo bwawa lenye kuzalisha umeme mwingi zaidi kwenye ukanda wa SADC. Litakalolipita lipo kwenye ujenzi Angola.
 
CCM DAIMA SAMIA MITANO TENA
 
Mradi umekamilika lakini tulivyoahidiwa na magufuli wameshindwa kutimiza.kama gharama ya umeme haijapungua inakuwa hakuna faida ya huu mradi.Wananchi tulitegemea maisha yawe Mazuri Kwa kupunguza gharama za umeme lakini Hawa wachawi wa awamu ya sita ndiyo wameongeza mitozo ya kijingakijinga inayotuumiza.
 
  1. Wanakabidhi likiwa linayoa Megawatt ngapi?
  2. Je sile cracks walizosema ziliishia wapi?
  3. Je utaratibu wa kutembelea hilo bwawa ukoje?
  4. Je njia ya kufika huko inapita wapi na ni Km na masaa mangapi?
  5. Je mtu anaweza kupata accommodation akienda kutalii?
  6. Je ile mitambo ilishawashwa yote au tunatumia michache?
  7. Je sustaibability plan ipo na sheria za kulilinda bwawa zipi?
  8. Je ile gorge ilifutika au waliihifadhi kwa namna nyingine?
 
Umeme wa maji siyo wa kutegemewa mda si mrefu tutaona mgao Kwa kisingizio cha kina cha maji kimepungua,

Bei ya kuzalisha unit moja ya umeme wa maji ni nafuu sana.

Mfano gharama utakazotumia kuzalisha unit moja ya umeme wa gesi ukizitumia gharama hizo hizo kuzalisha umeme wa maji unapata unit 6 za umeme wa maji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…