Arab Contractors wakabidhiwa Billion 688.6 kama malipo ya awali mradi wa umeme wa maporomoko ya mto Rufiji

Arab Contractors wakabidhiwa Billion 688.6 kama malipo ya awali mradi wa umeme wa maporomoko ya mto Rufiji

Kwanini wadanganyika wanaamini mtawala akitimiza wajibu inakuwa kama HISANI
 
Ni vizuri umeleta hii mada huenda una majibu. Wakati rais anatangaza kampuni iliyoshinda zabuni ya ujenzi wa hilo bwawa, alisema litagharimu 6.5t ambazo ni pesa za mkopo. Ila juzi umetokea mchanganyo baada ya hundi kuandikwa wanasema ujenzi wa bwawa ni fedha za ndani 100%. Tuamini lipi katika hao? Au ni yale yale ya uwongo wa kusaka kiko?
Mkuu mimi sina habari ya mkopo wa aina yoyote katika huu mradi, ingawaje ni kweli gharama zake zitafikia Tr. 6.5
 
Huyu Jamaa Heading na alichoandika ni vitu viwili tofauti. Lumumba Shida kweli! Haraka kama bao la Ugwadu!
Kuanza kwa mradi ni kupatikana kwa fedha za mradi na mkandarasi kupatikana wa kujenga huo mradi.
Au ulimaanisha nini tena?
 
Kweli Kiswahili kigumu! 'Started' and 'about to start' je zina maana sawa?
Tatizo lako ni lile linalowakumba wengi.
Watu wengi wakiwemo wanasiasa, viongozi wa serikali na hata ma layman, wananfikiri kuanza kwa mradi ni pale jembe linapoanza kuingia ardhini.
Hawaelewi kuwa kuanza kwa mradi kuna vitu vingi kama project planning, financing arrangements, supervision arrangements , Projects assurance Bonds/kupatikana kwa mkandarasi na hata assessment ya deliverables.

Ni somo refu sana ndugu , linawakanganya hata wanasiasa wazoefu, sembuse ma laymen kama we ulivyo.
 
Ni kweli ni malipo makubwa kuwahi kulipwa ila usisahau pia upigaji wa awamu hii haujawahi kuwepo toka kuumbwa kwa ulimwengu
 
Mzee kuna mambo amefanya na kiukweli anastaili hongera ila hoja ya watumishi wa kwenye maslai tumeumia sana.
Sasa hivi ndio madaraja watumishi baadhi wanapanda.
Tulitegemea sana bodi ya mishahara ingeweza kuja na suluhu ila naona imepotezewa
Kichadema chadema hatuhitaji Stigler tunataka ruhusa ya maandamano
 
Tatizo lako ni lile linalowakumba wengi.
Watu wengi wakiwemo wanasiasa, viongozi wa serikali na hata ma layman, wananfikiri kuanza kwa mradi ni pale jembe linapoanza kuingia ardhini.
Hawaelewi kuwa kuanza kwa mradi kuna vitu vingi kama project planning, financing arrangements, supervision arrangements , Projects assurance Bonds/kupatikana kwa mkandarasi na hata assessment ya deliverables.

Ni somo refu sana ndugu , linawakanganya hata wanasiasa wazoefu, sembuse ma laymen kama we ulivyo.
Kijana huna Adabu, unaniita Layman baba yako? Pumbavu saana wewe!
 
Nyie mnataka mlimpwe unono mnajua pesa zinatoka kwenye kodi zetu kwaiyo unataka sisi tuendelee kukamuliwa nyie mneemeke?
Miaka yote huo ndo ulikuwa moango . Hiyo miradi pesa zake zote watu walikuwa wanabadirishia nguo airport .mkulu ndo kidogo awe crew wa Nasa
 
Mzee kuna mambo amefanya na kiukweli anastaili hongera ila hoja ya watumishi wa kwenye maslai tumeumia sana.
Sasa hivi ndio madaraja watumishi baadhi wanapanda.
Tulitegemea sana bodi ya mishahara ingeweza kuja na suluhu ila naona imepotezewa
Hata kwenye familia huwezi kula bata huku mnajenga nyumba
 
View attachment 1081438
Naona wana JF wengi mko kimya lakini juzi mkandarasi Arab Contractors kalipwa na serikali ya Tanzania, malipo ya awali Tshs 688bilioni.

Haya ni malipo makubwa zaidi kuwahi kutokea tangu nchi hii ipate uhuru.

Kwa kifupi sasa tuna uhakika kuwa mradi wa ujenzi wa mradi wa umeme wa stieglers Gorge ndio unaanza kwa uhakika.

Myonge myongeni haki yake mpeni, hongera mh. Magufuli
Jamaa wameuchunia uzi.
 
Tunatumia fedha nyingi sana kupata 2500MW wakati kuna nchi fulani ilitumia fedha chini ya tutakazotumia na walipata 5000MW,Ankali anapiga cha juu sana kwenye miradi yake anayoilazimisha.....Rejea alivyotupiga kwenye Meli(zaidi ya 5B),Rejea kwenye Madege,Uwanja chatle etc huko kote kapiga zaidi ya 50%.
 
View attachment 1081438
Naona wana JF wengi mko kimya lakini juzi mkandarasi Arab Contractors kalipwa na serikali ya Tanzania, malipo ya awali Tshs 688bilioni.

Haya ni malipo makubwa zaidi kuwahi kutokea tangu nchi hii ipate uhuru.

Kwa kifupi sasa tuna uhakika kuwa mradi wa ujenzi wa mradi wa umeme wa stieglers Gorge ndio unaanza kwa uhakika.

Myonge myongeni haki yake mpeni, hongera mh. Magufuli
Huyu Jamaa Heading na alichoandika ni vitu viwili tofauti. Lumumba Shida kweli! Haraka kama bao la Ugwadu!
Sijaona tofauti ya contents na heading otherwise wewe unasoma kirumi au kiarabu.

Kasema wameshalipwa, na kwamba hayo ndo malipo makubwa kwa wakat mmoja kuwahi kutokea nchini.

Pia kaweka archtect drawing bwawa likikamilika litaonekana.

Ova.
 
Tunatumia fedha nyingi sana kupata 2500MW wakati kuna nchi fulani ilitumia fedha chini ya tutakazotumia na walipata 5000MW,Ankali anapiga cha juu sana kwenye miradi yake anayoilazimisha.....Rejea alivyotupiga kwenye Meli(zaidi ya 5B),Rejea kwenye Madege,Uwanja chatle etc huko kote kapiga zaidi ya 50%.
Hizo chuki tu, mlivyokuwa mnapigwa enzi zile mnachekelea tu. Sasa development project zinakuja bado mnalazimisha mtu anapiga
 
Tunatumia fedha nyingi sana kupata 2500MW wakati kuna nchi fulani ilitumia fedha chini ya tutakazotumia na walipata 5000MW,Ankali anapiga cha juu sana kwenye miradi yake anayoilazimisha.....Rejea alivyotupiga kwenye Meli(zaidi ya 5B),Rejea kwenye Madege,Uwanja chatle etc huko kote kapiga zaidi ya 50%.
Ulitaka tuendelee kulipa capacity charge kwenye umeme wa kifisadi?
 
Back
Top Bottom