Are spies made or born?

Are spies made or born?

Katika zama hizi intelligence assasination activities nyingi zipo outsourced kwa private contractors au Organized crime gangs

Ni nchi chache sana za dunia ya kwanza ambazo zina overt assasination units mfano ni Kiddon ya Mossad

Governments wana outsource hizi "wet jobs" ili kujenga hali ya plausible deniability
 
Katika zama hizi intelligence assasination activities nyingi zipo outsourced kwa private contractors au Organized crime gangs

Ni nchi chache sana za dunia ya kwanza ambazo zina overt assasination units mfano ni Kiddon ya Mossad

Governments wana outsource hizi "wet jobs" ili kujenga hali ya plausible deniability

Ukisema dunia ya kwanza una maanisha kuna nyingine pia???!!!
 
Katika zama hizi intelligence assasination activities nyingi zipo outsourced kwa private contractors au Organized crime gangs

Ni nchi chache sana za dunia ya kwanza ambazo zina overt assasination units mfano ni Kiddon ya Mossad

Governments wana outsource hizi "wet jobs" ili kujenga hali ya plausible deniability

From what i know Private Hit men for hire wengi huwa ni majajusi wastaafu wa serikali au ni hawa ambao bado wapo kazini (in service) lakini huchukua contracts za pembeni just as supplementary jobs. I recall this from CNN interview with one of the Hit men belonging to the notorious Mexican drug cartel.
 
From what i know Private Hit men for hire wengi huwa ni majajusi wastaafu wa serikali au ni hawa ambao bado wapo kazini (in service) lakini huchukua contracts za pembeni just as supplementary jobs. I recall this from CNN interview with one of the Hit men belonging to the notorious Mexican drug cartel.

Was he just a member from the notorious drug cartel ???!!
How does it connect with the concept of "retired or inservice" "from what you know"???!! Sir
 
Was he just a member from the notorious drug cartel ???!!
How does it connect with the concept of "retired or inservice" "from what you know"???!! Sir

From his personal accounts of the matter, he doesn't seem to have any direct connections with the cartel rather than being called upon whenever the demand for his service arises!!!
 
Mkuu OLESAIDIMU jaribu kuwa unaniombee majibu ya darasa la saba yakitoka nisichaguliwe boarding school yoyote nitai-miss sana jf aisee...kule hawaruhusu simu wala hakuna computers nataka niende either Azaboy au Kibasila!!!
Bora hata wewe la saba kaka mie la tano hapa natumia simu ya blaza yuko aliiacha alipoenda JKT hivi kapitia kumuona babu ndio maana nipo hapa akirudi ndio baas tena
 
From his personal accounts of the matter, he doesn't seem to have any direct connections with the cartel rather than being called upon whenever the demand for his service arises!!!

If we are allowed to go beyond and deduce from his personal accounts???!!!!
 
Guys, you may also want to read "Agent Storm; My life inside Al Qaeda" for you to get a much more broader knowledge. You can google it as well.
 
dah!

mara nyingi kunakuwepo na viashiria ambavyo vinaweza onekana tangu udogoni.
viashiria hivi vinaweza kuwa kutambuliwa na mtu wa familia ambaye tayari yuko kwenye system. ikitokea hivi na huyo mtu wa familia akaona utafaa basi anaweza akawa "anakulea" na kukujenga ili baadae iwe rahisi kukushawishi kuingia huko.

aidha viashiria hivi vinaweza kuonekana katika mfumo wa makuzi na elimu, mfano mwalimu wako, jirani yako, ndugu wa rafiki yako n.k.

pia wapo wataalamu kutoka ofisi kuu ambao nao wanajukumu la kutambua vipaji (potential candidates).

baada ya "kuonekana" unafaa inakuja ushawishi na kukujengea mazingira ya utakapo fuatwa na kuombwa kujiunga usisite kukubali. miaka ya awali chuo kikuu na jkt vilikuwa viwanja vya mawindo kwa watu wa "taaluma". mkufunzi kutoka makao makuu alikuwa na "warsha" ya siku moja na wanafunzi wa mwaka wa kwanza kuwaelezea umuhimu wa usalama hii ilikuwa ni mbinu ya kuwatayarisha wanafunzi kifikra ili wanapofuatwa wasisite kujiunga (ikumbukwe wakati huo chuo kikuu kilikuwa kimoja tu, hivyo hapo ndio palikuwa na jumuiko la wasomi wetu). idm mzumbe pia ulikuwa uwanja wa ajira(ingawa wakati huo haikuwa chuo kikuu)

kwa maneno mengine mtu anazaliwa na viashiria lakini viashiria hivyo lazima viboreshwe. usisahau kila sehemu hawa watu wapo kuanzia walimu, madaktari, wahandisi, wachumi, wahasibu, viongozi wa dini, wanasiasa nk. hata watu wasio na taaluma mahususi pia wapo. japokuwa kama alivyosema mchangiaji moja hapo juu sio kila mwenye viashiria ameajiriwa au ameonwa. wengine wanaviashiria husika lakini mazingira ya malezi/makuzi yao yamefanya wawe na viashiria vingine vyenye nguvu zaidi hivyo kuwa disqualify.

naamini nimekusaidia kidogo
mkuu sijakuelewa vizuri hapa. naomba ufafanuzi zaidi katika hili
 
katika bandiko langu nilijaribu kugusia kidogo sana juu a mambo mihimu yanayohitajika kwa watu wa aina hiyo wanaoongelewa kwenye mada....katika kuzisoma umeona kuwa kwa hali ilivyo huko Tanzania hakuna anayeweza kufaa na sababu kubw auliyoongelea ni mabadiliko ya kimaadili yanayoletwa na utandawazi kuwa yanaathiri kwa kiasi kikubwa zoezi zima la upatikanaji wa watu hawa.
yawezekana hoja yako ni ya msingi lakini nipende kukwambia kuwa huko nyumbani kuna vijana wake kwa waume wengi ambao vichwa vyao havijachafuliwa na mambo hayo lakini pia mabadiliko ya kiteknolojia sio sababu ya msingi sana maana jasusi yoyote lazima ajue matumiz ya technolojia mbali mbaliili aweze kufanya kazi zake kwa ufasaha. siku hizi haihitaji mtu kutembe na AK47 mtu anaweza kutembea na ki-USB flash disk kidogo tu ambacho kiknaweza kuwa na madhara makubwa sana katika jamii.
pengine niseme kuwa wapo watu wengi sana vichwa vyao havina uchafu mwingi na wanafiti katika eneo flani kulingana na mahitaji...huko juu kwenye bandiko langu nilisema wanahitajika watu wa aina mbali mbali kulingana na mahitaji yaliyopo...

sasa hizo ulizoita criteria naomba nikwambie kuwa kila mtu anao uwezo huo wa kila moja wapo hapo juu isipokuwa namna ya kuzitumia... uelewa wa mambo ni jambo la msingi sana...kuna wakati flani huko nikiw ahuko nyumbani nilimuuliza kijana mmoja kwamba..ili kijiji kiwe kijiji ni hatua zipi zinachukuliwa mpaka eneo flani linaitwa kijiji, na pia katika kijiji kuna safu zipi za uongozi.... kijana yule alishindwa kunijibu swali liel akabaki kurukia rukia vitu vya ajabu ...sasa swali kama hili haliihitaji eti mabadiliko ya teknolojia ...bali ni upana wa uelewa wa mambo..ni swali dogo lakini kama hujui namna ya kujibu basi huwezi

ukija kwenye swala la kumbu kumbu..kila mtu anazo kumbukumbu za kiwango flan...wapo watu wanaoweza kutaja majina ya wenzao karibu 40 waliokuwa wanasoma shule ya msingi lakini hawezi kutaja majina ya marafik zake 5 aliosoma nao sekondari...nk nk nk.... naomba nikupe changamoto ukienda kwene mishuguliko yako ya siku ..na jioni ukirudi nyumbani hebu jaribu kuandika report yako ya sku nini umefanya, umekutana na nani...alivaa nini, mliongea nini, ulipita wapi ulkaona nini....kama kuna jambo utalisahau na ulilifanya kwa siku hiyo basi jua uwezo wa kukumbuka na umakini uwapo eneo flani ni kiasi...au nenda bar hata kama hunywi pombe agiza maji kisha ukiwa mle ndani angalia kuna watu wa aina gani, umesalimiana na nani humo ndani, kuna bar-maids wangapi walivaa nini, kaunta ikoje mle ndani watu walikaa vipi,,mtu wa upande upi alikuwa anavuta sigara, uliongea na nani na mliongea nini....kumbuka iwe ni bar yenye mziki na watu wanacheza...kisha rudi nyumbani tengeneza report ya kila kitu ulichoona mle ndani....hili nalo haliihitaji mabadiliko ya tabia nchi au technolojia bali ni aili ya mtu jinsi ilivyo tulia na uwezo wake kurekodi mambo na kutunza kumbukumbu....


Niliposoma post yako nikakumbuka jambo moja miaka mingi ya nyuma siku moja mimi na mdogo wangu tulichukuliwa na baba kwenda hadi katikati ya mji na kisha baba akanionyesha dirisha moja lililokuwa wazi kwenye jengo flani la gorofa , dirisha lilikuwa kwenye gorofa ya 4.baba akaniambia unaliona dirisha lile basi nenda mpaka pale ndani ya ile ofis na fanya ufanyavyo baad aya dakika saba ningependa sana kukuona kwenye balcony ya ofis hiyo ukiwa na mtu utakayemkuta humo ndani na hakikisha mkononi umeshikilia moja ya file utakalolikuta humo na ukikosa file basi ushike hata glasi ya maji mkononi uwe unakunywa......piga picha ungekuwa ni wewe hatua zipi ungechuku na ungeanzia wapi hadi kufanikisha swala hilo ndani ya dakika saba?...mdogo wangu yeye aliambia aene mpaka mapokezi aangalie ndani ya daftari la wageni jina la mwisho la mtu aliyejiandikisha na achukue na namba za simu alipewa dakika 4.....wewe ungeanzia wapi ?..na je unadhani mabadiliko ya technolojia yanachangia lolote juu ya kufanikisha hayo mawili tuliyoambiwa na baba mimi na mdogo wangu?....

kwa hiyo napenda nikwambie kuwa mabadiliko ya globalization hayaathiri upatikanaji wa watu hawa bali kwa namna flani yanasaidia kuweza kupata vijana wanaofaa..chini ya mchango wangu pale juu nimesema wanaochaguliwa ni the right person note necessarily the best one.....

nimalize kwa kuukuuliza swali hivi unadhani kusema uongo ni dhambi?...

Saluti mkuu. Heshima yako Agent teh teh. From maelezo yako inaonekana baba yako alikuwa Usalama. Na wewe upo Usalama. Vp ulifanikiwa mission ya kwenye Balcony? Noana mzee alikuwa anajaribu ku recruit his own kids teh teh
 
Hapa tunaongelea HUMINT(Human Intelligence). Siku hizi espionage ime evolve sana. Electronic,signal na satellite imagery intelligence zimeshika kasi zaidi

MSS(Ministry of State Security) ya china imeiba siri nyingi sana kwa electronic hacking ukilinganisha traditional techniques za kuiba siri kwa kutumia Humint enzi za Cold War

Kwa mtazamo wangu naamini the future lies with electronic and satelite imagery intelligence. Mambo ya human spies yanapitwa na wakati pole pole

Ingekuwa vema kama Jeshi kushirikiana na TISS waanzishe project ya kuweka spy satellite huko juu either wa design from scratch au wanunue kihalali au wanunue through the black market. Nchi kama North Korea amabayo tuna uhusiano nao wa karibu wanaweza kutusaidia
Nafikiri skilled analyst wanatakiwa pia licha ya hizo technolojia. Humint ni powerful sana. Hizo technolojia ni kwa ajili ya kussuport Humint. You can't have a strong intellingence agency without soldiers (Agents)
 
Back
Top Bottom