Wanajua wao wanawatrain muda gani, mtu unaandaliwa kufanya kitu fulani mapema, ndio maana form three unachagua science, form five unachukua PCB ili Chuo ukasomee Udaktari, uwezi ukachukua HGL form five Chuo ukataka ukasomee Udaktari, maandalizi ni mapema, ingawa kwa hawa watu ni wao wanaokuappriciate na kukuingiza humo taratiibu mpaka unaiva na .kuwafaa, sio unajiingiza mwenyewe, unaamua kusomea mwenyewe .au kama unavyoenda kuomba kazi Bank, no, unaweza ukawa hata .mtu mwenye Masters, wasikufagilie, kwa kuwa hauwafai, lakini .wakamtrain form four leaver akawafaa, but unafuatiliwa muda sana .mpaka kuingizwa huku, hawakurupuki, yawezekana anayekufuatilia ni.. mwanafunzi mwenzako ama Mwalimu wako ambaye naye yumo .tayari