Are spies made or born?

Are spies made or born?

Yeah lakini akiwa mzuri akili na mwili ambao utakubali tradecraft vizuri anaweza kuwa bora sana pia!!!
Nadhani akiwa na intellectual-psysco-somatic coordination nzuri zaid anaweza kuwa spy mzuri zaid!!!

Ni kweli...competence at the highest levels of stress, and without losing the calmness in order to execute the work sio kitu rahisi na cha kurithiana kama inavyoonekana huku kwetu.
 
Ni kweli...competence at the highest levels of stress, and without losing the calmness in order to execute the work sio kitu rahisi na cha kurithiana kama inavyoonekana huku kwetu.

Ha ha haa nimeipenda jinsi unavyoweka "litmus paper" yako kwenye kimiminika cha "kurithiana"!!!!
Uko sawa
 
Ni kweli...competence at the highest levels of stress, and without losing the calmness in order to execute the work sio kitu rahisi na cha kurithiana kama inavyoonekana huku kwetu.

Ha ha haa nimeipenda jinsi unavyoweka "litmus paper" yako kwenye kimiminika cha "kurithiana"!!!!
Uko sawa kaka
 
Ha ha haa nimeipenda jinsi unavyoweka "litmus paper" yako kwenye kimiminika cha "kurithiana"!!!!
Uko sawa kaka

Husema maji hufuata mkondo au mtoto wa nyoka ni nyoka. Mimi ninadhani hii misemo miwili ina apply zaidi kwenye tasnia kama za muziki,kandanda,uigizaji.nk.
But when it comes to the game of spying, it's a whole different storry na hiyo misemo haina application yoyote hapa wakuu.
 
it seems hujui maana ya blunder mkuu kwenye spying hakuna nafasi ya blunders kuna nafasi ya mistakes tu. Kuna agency nyingine nyingi tu ambazo ni bora kuliko mossad, wao wako na media ndugu kuwalaghai watu tu.

Aliyeandika kitabu cha By way of Deception, alikuwa jasusi wa Israel aliyebebeshwa makosa ya wakubwa wake. Blunders/mistakes ni kitu kinachotegemea nani amesimamia wapi kwa mtazamo wangu. Human nature has got both...for spies and even highly decorated army generals...
 
Zamani enzi za mwl ulikuwa spotted kuanzia primary ila huambiwi kwa umri ule. Wakuu wengi wa shule walikuwa usalama!!! then unaendelea kufuatiliwa hadi sekondari na chuo wanakupasulia jipu!!! kinachoendelea hapo nameza.

Very true indeed
 
Aliyeandika kitabu cha By way of Deception, alikuwa jasusi wa Israel aliyebebeshwa makosa ya wakubwa wake. Blunders/mistakes ni kitu kinachotegemea nani amesimamia wapi kwa mtazamo wangu. Human nature has got both...for spies and even highly decorated army generals...

1. Human nature yes kaka ila kweli tutegemee "scape goating" ya "human nature" kwenye kazi kama hizo!!!

2. Say mtu aache traceable indicators that can easily be tailed wakati fulani sehemu fulani halafu maelezo yawe hayo tu "kujisahau ni human nature"???!!
 
Husema maji hufuata mkondo au mtoto wa nyoka ni nyoka. Mimi ninadhani hii misemo miwili ina apply zaidi kwenye tasnia kama za muziki,kandanda,uigizaji.nk.
But when it comes to the game of spying, it's a whole different storry na hiyo misemo haina application yoyote hapa wakuu.

Food for thought!!!!
 
Food for thought!!!!

this is real talk mkuu OLESAIDIMU kwa sababu unaweza kukuta katika familia watu wanatabia zinazofanana lakini mienendo yao kila mmoja yaani ni tofauti kabisaaaa na hii huchangiwa zaidi na mazingira. Criteria zilizokuwa zikitumiwa wakati wa mwalimu wakisema wazitumie tena kwa sasa kati ya vijana 100 wanaweza pata vijana wa-3 tu wanao fit in!!!!
 
this is real talk mkuu OLESAIDIMU kwa sababu unaweza kukuta katika familia watu wanatabia zinazofanana lakini mienendo yao kila mmoja yaani ni tofauti kabisaaaa na hii huchangiwa zaidi na mazingira. Criteria zilizokuwa zikitumiwa wakati wa mwalimu wakisema wazitumie tena kwa sasa kati ya vijana 100 wanaweza pata vijana wa-3 tu wanao fit in!!!!

Wud prefer a half full than a half empty vessel sort of sampling if at all the aim is to get it filled rather than emptying!!!!!
 
okey sasa nimekusoma mkuu. kumbe issue ni kujaza tu idadi bila kujali hao watu wana nini vichwani mwao???

Mmmh cant co sign with this argument of yours directly unless you can assert beyond reasonable doubts regarding your hypothesis!!!
 
Wanajua wao wanawatrain muda gani, mtu unaandaliwa kufanya kitu fulani mapema, ndio maana form three unachagua science, form five unachukua PCB ili Chuo ukasomee Udaktari, uwezi ukachukua HGL form five Chuo ukataka ukasomee Udaktari, maandalizi ni mapema, ingawa kwa hawa watu ni wao wanaokuappriciate na kukuingiza humo taratiibu mpaka unaiva na kuwafaa, sio unajiingiza mwenyewe, unaamua kusomea mwenyewe au kama unavyoenda kuomba kazi Bank, no, unaweza ukawa hata mtu mwenye Masters, wasikufagilie, kwa kuwa hauwafai, lakini wakamtrain form four leaver akawafaa, but unafuatiliwa muda sana mpaka kuingizwa huku, hawakurupuki, yawezekana anayekufuatilia ni mwanafunzi mwenzako ama Mwalimu wako ambaye naye yumo tayari
kwa tz hawa wanao under-perfom sidhani kama wanapatikana kwa njia hiyo
 
Back
Top Bottom