Ni kitu chochote kinachoonekana hewani lkn hakitambuliki..watueleze, hata mi sielewi hapo, je ni kifaa, kiumbe, au muujiza
Speed ya dunia kulizunguka jua ni 30km/sec, je hii nayo utasema inazidi nini?du km 11 kwa sekunde, hii inazidi umeme aisee
hapo nimeufyataSpeed ya dunia kulizunguka jua ni 30km/sec, je hii nayo utasema inazidi nini?
Hi inaizidi speed ya kiuno cha Ray C.Speed ya dunia kulizunguka jua ni 30km/sec, je hii nayo utasema inazidi nini?
hatari sanaHi inaizidi speed ya kiuno cha Ray C.
Mimi nimesema ni kitu sio kifaa! Kasome post yangu vizuri..Yaani ni "kifaa" alafu tena akitambuliki? mbona hii ngumu kumeza.
zilete tusafishe machoHizi UFO zimewahi kushambulia eneo moja katika nchi ya India
mpaka sasa wanadai ya kwamba ni viumbe toka sayari nyingine
Lakino hizi UFO ziko mbele sana kwa Technology ya dunia.
Nitaonesha picha mojawapo zilizowahi pigwa
ila kwenye hili la dunia kulizunguka jua, nina mashaka ni sayansi isiyo na uhakika, kwa sababu ukipanda chombo chochote kinapo move utayumba kwa namna yoyote, Dunia ikimbie 30 km/sec tusipigwe na upepo wakati tuko juu ya dunia,Speed ya dunia kulizunguka jua ni 30km/sec, je hii nayo utasema inazidi nini?
Kuhusu ndege nadhani haiathiriwi na speed ya dunia kwa sababu hata inapokuwa imeruka, bado inakuwa ipo kwenye atmosphere ya dunia, hivyo itaendelea kucheza muziki wa dunia mpaka mwisho.ila kwenye hili la dunia kulizunguka jua, nina mashaka ni sayansi isiyo na uhakika, kwa sababu ukipanda chombo chochote kinapo move utayumba kwa namna yoyote, Dunia ikimbie 30 km/sec tusipigwe na upepo wakati tuko juu ya dunia,
na kama spindi ndiyo hiyo, ndege inaruka angani na inaenda magharibi halafu inaukuta mji, mi nadhani siyo sahihi
du km 11 kwa sekunde, hii inazidi umeme aisee
Wakati gani?kileleni?Hi inaizidi speed ya kiuno cha Ray C.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] itakuwa ilikuwa mwez wa 12 mkuuUFO Nilishawahi kuiona mgololo iringa kwenye msitu wa mikusu.
Sema ndio hivo te skuwa na camera
Kwani kila siku lazima wawe NASA?Bado kumeendelea kuwa na sintofahamu kuhusiana na UFO's zinazoonekana sehemu mbalimbali lkn chakushangaza shirika kubwa la NASA bado halijaja na majibu ya kutosheleza kuhusu UFO hapa napatwa na walakini huenda kuna kitu kinafichwa...
Mwanaanga Michael Collins ambaye
alikuwa rubani wa Apollo, anadai
kwenye kitabu chake cha "Carrying
the Fire" (kubeba moto) kwamba UFO
ilijitokeza ghafla kutoka
kusikojulikana na kumudu kwenda sambamba na mwendo mkali wa
Apollo kwa masafa marefu.Wakati huo Apollo ilikuwa katika kasi
ijulikanayo kama "transonic speed",
ambayo ni takribani kilometa 40,000
kwa saa ( sawa na kilometa 11 kwa
sekunde). Anaeleza kuwa walipotoa taarifa
duniani kwa makao makuu ya NASA
kwamba kulikuwa na chombo kigeni
kinawafuatilia, walijibiwa kuwa "hiyo ni
UFO, achana nayo, zingatieni safari
maana ndiyo muhimu kwenu." Baadaye UFO hiyo ilitoweka kama
ilivyokuja.
toka miaka hiyo mpk leo inamaana hawajui nini kinaendelea..?
na kwajibu hilo inaonyesha wazi yakuwa hawana mashaka na UFO's!!
UFO...Mamaa wa RisasiUfo jina hili sio geni maskioni kwangu hasa kwenye masuala ya habari bila shaka tena ITV mara nyingi.
Wewe uliona mbung'o au dondolaUFO Nilishawahi kuiona mgololo iringa kwenye msitu wa mikusu.
Sema ndio hivo te skuwa na camera