Are Unidentified Flying Objects (UFOs) and Aliens Real? How safe is Planet Earth?

Are Unidentified Flying Objects (UFOs) and Aliens Real? How safe is Planet Earth?

hawa ni viumbe wa advance races from other planets.... kuna more than 10 million planets in the milky way so obvious kuna some form of life somewhere...... hawa ndio waliotuletea civilization hii tuliyonayo... wali intermarry na primitive humans ndo race yetu ikaanza hata kwenye bibles kuna endless examples ya ujio wa hawa watu!!!

Mkuu umezungmza kuwa hawa ndio waliotuletea civilization tuliyo nayo na wali intermary na primitive human, how they intermarry ? na kwa niniujio wao ni secret sana? na hiyo mifano ya endless visitation duniani inapatikana vitabu gani ?
 
UFOs are just a fabrication from technological experiments by American scientists so much hidden from the public. Just ask yourself, why no clear account of UFOs and why not being seen in Africa, Asia or elsewhere, save one incidence in UK, but in the USA?

If you were curious enough you would have seen so many UFOs up to now I have seen them several times in TZ
 
If you were curious enough you would have seen so many UFOs up to now I have seen them several times in TZ

May be you should tell us what you mean by UFOs lest your vision of UFOs is blurred!
 
hata hujiulizi mbona hivi vitu ni usa tuuuu???ukweli ni kwamba there is nothing like aliens.ni viumbe ambao hutengenezwa maabara na wamarekani wenyewe ili waje kuwatumia kwenye NWO.na mpango mzima unafanywa kwenye maandaki maalum yaliyoko chini ya uwanja wa ndege wa denver.[denver airport]
 
May be you should tell us what you mean by UFOs lest your vision of UFOs is blurred!

Un Identified Flying objects and most of the times are abnormal compared to the flying objects we know haven't you seen any? Au ni lazima ziwe associated na Alliens?
 
Ndugu zangu Watanzania

Dunia sasa inapitia kwenye mzunguko wa tatu.. Lazima watu makini tuweze kujipanga kuokoa jamii zetu kutokana na mabadiliko ambayo hayaepukiki.

Sipendi kuongelea wimbi la ongezeko la matukio ya Uhalifu hasa UFO's na mengineyo lakini tu sekta ya makuzi ya sayansi ni Swali la kujiuliza sana kwenye nchi zetu hizi ambazo tunafuata mikia kwenye nyanja NYINGI.

Niseme wazi pasipo baraka za Baraza la Usalama la Umoja wa mataifa, Mataifa yenye nguvu sasa yamesharusha DHCS. Ikumbukwe Uvumbuzi wa Satellite uliifanya dunia kupata chombo cha kubebea antena za mawasiliano, lakini DHCS hazibebi bali zenyewe hutumiwa kutenda kazi zikiwa angani kwa msimamo wa nguvukani(gravitation) na space-vacuum (VCI rotation). ni camera zenye lensi inayotumia kimiminika haijawahi kufundishwa hata vyuo vikuu. Kamera hizi zina uwezo wa kuondoa kabisa matatizo ya box-flm au PIXCEL, na kuonyesha kitu kwa asili yake. mbali na hapo matumizi ya kweli kwamba hewa ni kimiminika (LIQUID), kina mawimbi yenye nafazi pana zaidi ya kusafirisha sauti. inasadikika kwamba sauti zote tunazoongea huwa hazipotei, sauti husafiri kutokana na masafa ya hali ya hewa. kamera hizi zina uwezo wa kukusanya sauti hizi, ikazitafsiri na kuchambua njema na mbaya kutokana na maelekezo zilizo pewa, na kisha kuzifuatilia sauti hizo au mawasiliano hayo popote na vyovyote ndani ya sekunde chache zaidi.

Bidii za mataifa ya mashariki ya kati na Korea kaskazini ya kupinga matumizi ya simu za kisasa na intaneti hayasaidii hata kidogo kuweka supreme security za ndani na nje ya nchi zao. DHSC hupenya popote na vyovyote.. wasiwasi wangu ni kwamba ikifika mahali wakazibebesha silaha hasa UFO basi kuna hatari ya kumdhuru mtu yeyote na popote watakavyo and i am sure wako mlangoni au wameshaingia kwenye zoezi hili.

ndugu zangu Watanzania.
Tunashibishwa siasa za kishenzi, siasa za kutukanana, siasa za kukebehiana na kupigwa na upofu wa wa kile kinachoendelea duniani. Tunagombania taifa ambalo tayari limeshatekwa siku nyingi sana. ni wazi hatuna mabavu ya Kupambana na Mataifa haya yenye Nguvu za kiuchumi.

lakini Tunacho ambacho hawana, tunaweza kujenga taifa lenye AMANI, taifa tulivu na lenye upendo. Tunaweza kuwashinda kwa Nguvu ya AMANI. lazima kuchagua mfumo wa MAISHA YA KUJITOFAUTIOSHA na mataifa haya, mtindo tulio nao unatupeleka kutenda kama wao walivyotenda miongo mingi iliyopita NA KUSHINDWA. lazima tubadilike

Bye Nelson

CCA

.
.
.


Tunasema Kwamba audio SUN frequency ambayo ni 126.22Hz can be attained. Unajua mtoto anapozaliwa hutoa sauti inayopimwa kwA mawimbi ya 432Hz. Kama kuna Mtu anayeweza kutoa mawimbi plus or minus 0.005 ya 126.22Hz anaweza kulichallange Jua likapoteza mwanga wake.. This fact is true.
 
Kuna kipindi niliwahi leta mada kama hii,but sijui mods walitupia kapu gani?

Mkuu jaribu kuoanisha kidogo na mabadiliko ya Tabia nchi, then tuone existence of SPACE inavyoweza kulink na hizo DHCS
 
Ndugu
zangu Watanzania

Dunia sasa inapitia kwenye mzunguko wa tatu.. Lazima watu makini tuweze
kujipanga kuokoa jamii zetu kutokana na mabadiliko ambayo hayaepukiki.

Sipendi kuongelea wimbi la ongezeko la matukio ya Uhalifu hasa UFO's na
mengineyo lakini tu sekta ya makuzi ya sayansi ni Swali la kujiuliza
sana kwenye nchi zetu hizi ambazo tunafuata mikia kwenye nyanja NYINGI.

Niseme wazi pasipo baraka za Baraza la Usalama la Umoja wa mataifa,
Mataifa yenye nguvu sasa yamesharusha DHCS. Ikumbukwe Uvumbuzi wa
Satellite uliifanya dunia kupata chombo cha kubebea antena za
mawasiliano, lakini DHCS hazibebi bali zenyewe hutumiwa kutenda kazi
zikiwa angani kwa msimamo wa nguvukani(gravitation) na space-vacuum (VCI
rotation). ni camera zenye lensi inayotumia kimiminika haijawahi
kufundishwa hata vyuo vikuu. Kamera hizi zina uwezo wa kuondoa kabisa
matatizo ya box-flm au PIXCEL, na kuonyesha kitu kwa asili yake. mbali
na hapo matumizi ya kweli kwamba hewa ni kimiminika (LIQUID), kina
mawimbi yenye nafazi pana zaidi ya kusafirisha sauti. inasadikika kwamba
sauti zote tunazoongea huwa hazipotei, sauti husafiri kutokana na
masafa ya hali ya hewa. kamera hizi zina uwezo wa kukusanya sauti hizi,
ikazitafsiri na kuchambua njema na mbaya kutokana na maelekezo zilizo
pewa, na kisha kuzifuatilia sauti hizo au mawasiliano hayo popote na
vyovyote ndani ya sekunde chache zaidi.

Bidii za mataifa ya mashariki ya kati na Korea kaskazini ya kupinga
matumizi ya simu za kisasa na intaneti hayasaidii hata kidogo kuweka
supreme security za ndani na nje ya nchi zao. DHSC hupenya popote na
vyovyote.. wasiwasi wangu ni kwamba ikifika mahali wakazibebesha silaha
hasa UFO basi kuna hatari ya kumdhuru mtu yeyote na popote watakavyo and
i am sure wako mlangoni au wameshaingia kwenye zoezi hili.

ndugu zangu Watanzania.
Tunashibishwa siasa za kishenzi, siasa za kutukanana, siasa za
kukebehiana na kupigwa na upofu wa wa kile kinachoendelea duniani.
Tunagombania taifa ambalo tayari limeshatekwa siku nyingi sana. ni wazi
hatuna mabavu ya Kupambana na Mataifa haya yenye Nguvu za kiuchumi.

lakini Tunacho ambacho hawana, tunaweza kujenga taifa lenye AMANI, taifa
tulivu na lenye upendo. Tunaweza kuwashinda kwa Nguvu ya AMANI. lazima
kuchagua mfumo wa MAISHA YA KUJITOFAUTIOSHA na mataifa haya, mtindo
tulio nao unatupeleka kutenda kama wao walivyotenda miongo mingi
iliyopita NA KUSHINDWA. lazima tubadilike

Bye Nelson


CCA

Very complex topic!
... Silaha hasa UFO!
UFO ni silaha?
 
Mkuu you got nice idea lakini ulivyo I present sijaelewa!!
 
Mkuu kwanza utujuze tena kwa uzuri hii dhcs ni nini halafu utuambie ufo unayozungumzia ni hii hii tunayoijua au? Mi najua ufo ni kifupi cha unidentified flying objects, sijui kama ni silaa au kitu kama hicho. Tupe somo
 
Hata sipati picha hapa!

Jamaa kaileta topic akidhani kila mtu anafuatilia technological changes au kila mtu ni Engineer wa kuweza kuelewa maana ya UFO or DCHS.

Ili uweze kumuelewa mtoa mada inabidi uwe current sana na issue za technology, visit NASA website and other Science journals. Yani uwe mtu unayependa kufuatilia mabadiliko ya technojia katika Dunia hii kila mara.
 
Ndugu zangu Watanzania

Dunia sasa inapitia kwenye mzunguko wa tatu.. Lazima watu makini tuweze kujipanga kuokoa jamii zetu kutokana na mabadiliko ambayo hayaepukiki.

Sipendi kuongelea wimbi la ongezeko la matukio ya Uhalifu hasa UFO's na mengineyo lakini tu sekta ya makuzi ya sayansi ni Swali la kujiuliza sana kwenye nchi zetu hizi ambazo tunafuata mikia kwenye nyanja NYINGI.

Niseme wazi pasipo baraka za Baraza la Usalama la Umoja wa mataifa, Mataifa yenye nguvu sasa yamesharusha DHCS. Ikumbukwe Uvumbuzi wa Satellite uliifanya dunia kupata chombo cha kubebea antena za mawasiliano, lakini DHCS hazibebi bali zenyewe hutumiwa kutenda kazi zikiwa angani kwa msimamo wa nguvukani(gravitation) na space-vacuum (VCI rotation). ni camera zenye lensi inayotumia kimiminika haijawahi kufundishwa hata vyuo vikuu. Kamera hizi zina uwezo wa kuondoa kabisa matatizo ya box-flm au PIXCEL, na kuonyesha kitu kwa asili yake. mbali na hapo matumizi ya kweli kwamba hewa ni kimiminika (LIQUID), kina mawimbi yenye nafazi pana zaidi ya kusafirisha sauti. inasadikika kwamba sauti zote tunazoongea huwa hazipotei, sauti husafiri kutokana na masafa ya hali ya hewa. kamera hizi zina uwezo wa kukusanya sauti hizi, ikazitafsiri na kuchambua njema na mbaya kutokana na maelekezo zilizo pewa, na kisha kuzifuatilia sauti hizo au mawasiliano hayo popote na vyovyote ndani ya sekunde chache zaidi.

Bidii za mataifa ya mashariki ya kati na Korea kaskazini ya kupinga matumizi ya simu za kisasa na intaneti hayasaidii hata kidogo kuweka supreme security za ndani na nje ya nchi zao. DHSC hupenya popote na vyovyote.. wasiwasi wangu ni kwamba ikifika mahali wakazibebesha silaha hasa UFO basi kuna hatari ya kumdhuru mtu yeyote na popote watakavyo and i am sure wako mlangoni au wameshaingia kwenye zoezi hili.

ndugu zangu Watanzania.
Tunashibishwa siasa za kishenzi, siasa za kutukanana, siasa za kukebehiana na kupigwa na upofu wa wa kile kinachoendelea duniani. Tunagombania taifa ambalo tayari limeshatekwa siku nyingi sana. ni wazi hatuna mabavu ya Kupambana na Mataifa haya yenye Nguvu za kiuchumi.

lakini Tunacho ambacho hawana, tunaweza kujenga taifa lenye AMANI, taifa tulivu na lenye upendo. Tunaweza kuwashinda kwa Nguvu ya AMANI. lazima kuchagua mfumo wa MAISHA YA KUJITOFAUTIOSHA na mataifa haya, mtindo tulio nao unatupeleka kutenda kama wao walivyotenda miongo mingi iliyopita NA KUSHINDWA. lazima tubadilike

Bye Nelson


CCA

Kaka topic yako ni nzuri lakini haujaifafanua inavyopaswa, ebu fanya editing ueleweke vizuri. Tunataka kujua maana ya DCHS and UFO na impact yake katika jamii yetu tuliyomo.
 
Back
Top Bottom