Area 51 ni eneo gani haswa?

Area 51 ni eneo gani haswa?

Ever herd about MKULTRA mkuu!
Ndio,MK-Ultra is a CIA Mind Control Experimentation Programme which generally centers around behavior modification via electro-shock therapy, hypnosis, polygraphs, radiation, and a variety of drugs, toxins, and chemicals. These experiments relies on a range of test subjects: some who freely volunteer, some who volunteer under coercion, and some who have absolutely no idea they are involved in a sweeping defense research program.CIA wenyewe wanasema hii programme haipo tena,lakini taarifa za kuaminika ni kwamba ipo na inaendelea katika kiwango cha juu na siri zaidi.
 
Salam wakuu,

Nimekua nikifuatilia kwa muda mrefu sasa kuhusu swala la hili eneo la Area 51 ambalo lipo maeneo ya Nevada desert marekani. Kuna nadharia nyingi sana kuhusu eneo hili, na Kituo hicho kilichojengwa Mwaka 1955 kilikua ni cha kificho mpaka mwaka 2013 Mwezi August CIA ilivyoweka wazi existence ya kituo hiko .

Basically ni Moja ya air force base ya marekani lakini kuna usiri mkubwa sana kuhusu eneo Hilo na kinachoendelea ndani. Ni very restricted area na kuna mabango mengi ya vitisho kama "TRESPASSERS WILL BE SHOT, SURVIVORS WILL BE SHOT AGAIN" [emoji41].

Je, ni nini wamarekani wanaficha? Je, ni kweli kuna aliens waliangukaga pale?

Cha ajabu hata Rais mwenyewe kwa mwaka anaruhusiwa kutembelea eneo hilo kwa limited time pekee (sijui mara mbili).

Wanasema ni mlango wa kwenda kuzimu eti
 
Kuna mambo mengi mleta mada kama unataka kuyafuatilia basi taftaa icho kitabu
Screenshot_2021-12-14-10-16-05-00.jpg
 
Area 51 ndo wanapo tengenezea movies na pictures za kwenda mwezini,hata marekani wala wanadamu hawajawahi gusa mwezi kabisaaaa
 
SEHEMU AMBAYO WAMAREKANI HAWATAKI WATU WAIJUE KABISA

Nchi ya marekani ina eneo inaitwa A51 nj sehemu ya siri ambayo ina mambo mengi ya ajabu.

Serikali ya nchini marekani imeficha siri ambayo wanawatumia viumbe vya Ajabu kutabiri vitu vya kushangaza

Video iko chini 👋

Eneo ambalo ukienda unapotea au kufa kabisa 🚫 je Serikali ya Marekani ina👽 Siri gani kwani ?
Tizama hii video 👇


 

Attachments

  • f487d7a9f6c698580a551f78817cc3ed.mp4
    954.7 KB
Back
Top Bottom