Area 51 ni eneo gani haswa?

Ever herd about MKULTRA mkuu!
Ndio,MK-Ultra is a CIA Mind Control Experimentation Programme which generally centers around behavior modification via electro-shock therapy, hypnosis, polygraphs, radiation, and a variety of drugs, toxins, and chemicals. These experiments relies on a range of test subjects: some who freely volunteer, some who volunteer under coercion, and some who have absolutely no idea they are involved in a sweeping defense research program.CIA wenyewe wanasema hii programme haipo tena,lakini taarifa za kuaminika ni kwamba ipo na inaendelea katika kiwango cha juu na siri zaidi.
 

Wanasema ni mlango wa kwenda kuzimu eti
 
Kuna mambo mengi mleta mada kama unataka kuyafuatilia basi taftaa icho kitabu
 
Area 51 ndo wanapo tengenezea movies na pictures za kwenda mwezini,hata marekani wala wanadamu hawajawahi gusa mwezi kabisaaaa
 
SEHEMU AMBAYO WAMAREKANI HAWATAKI WATU WAIJUE KABISA

Nchi ya marekani ina eneo inaitwa A51 nj sehemu ya siri ambayo ina mambo mengi ya ajabu.

Serikali ya nchini marekani imeficha siri ambayo wanawatumia viumbe vya Ajabu kutabiri vitu vya kushangaza

Video iko chini πŸ‘‹

Eneo ambalo ukienda unapotea au kufa kabisa 🚫 je Serikali ya Marekani inaπŸ‘½ Siri gani kwani ?
Tizama hii video πŸ‘‡


Your browser is not able to display this video.
 

Attachments

  • f487d7a9f6c698580a551f78817cc3ed.mp4
    954.7 KB
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…